Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu

Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu

vaa sound proof material
just joke kuziepuka usitrade wakat masoko makubwa yapo online yote
wanaita market overlaping
upload_2018-2-13_1-25-38.png

1 sydney na tokyo kuanzia saa 9 usk mpaka saa 3 asubuh Major quotes AUD na JPY
2 closing time ya Tokyo inakutana na LO saa 5 asbh mpaka saa 6 pound inapambana na Yen ya japan
3 saa 10 jion mpaka saa 1 jion Sehemu maarufu kwa kutrade walstreet wanaopen NY huku London wakikaribia kuclose
NA rangi za masoko zinaonyesha votality ya masoko kama wewe ni dereva wa gari hautoshindwa kuzitambua hizo rangi
 
Nadhan kabla hujaandika ni vyema ukawa na uhakika!! Naked forex strategy is one of the best strategies na inaweza kuwa the top!! Kwenye naked tunaangalia only price movement...hatutumii indicators kabisa!!

Sasa uliposema ukitumia naked strategy market makers watakufanyia mbaya ilionyesha bado hujui forex!!
hukuona nilibold kabisa, sitegeki mkuu naweza kuzitega pips tu
upload_2018-2-13_1-54-11.png
 
mtoa mada yupo smart upstairs hilo nimelitambua
kale kamsemo ka kuwa sio kwa wote kapo sawa kabisa
 
Hii Forex najitahidi niielewee lakini naona Gizaaa tuuu...!! Kwani mtaji sh ngap unahitajika??? Unafanyaje ilii kupata hizo faidaaa..??? Hao broker ni kina nani??? Kama ni online ishu haiwezekani siku ukakuta acc yako imecrush down????
 
Umekosea mkuu, jibu sio sahihi!! Ndio maana nakwambia bado unatakiwa ujifunze!!

Kama pip moja ina thamani ya 0.1usd na kama ukitumia position size ya 0.01 basi faida au loss itakua sawa bila kujali account ina equity au balance kiasi gani!!
Ndio hapo na mimi nimeshangaa mkuu... amenifanya nijione kumbe bado mbumbumbu kabisa
 
haha nilishakutambua tangu unaanza kuchangia shukrani umejileta, huu uzi haupo hapa kwa ajili yako wewe upo hapa kwa sababu ya watu wanaohitaji kuwa na financial freedom na kupitia Fx inapatikana.
Unaonekana una tabia ya kujaribu kila kitu na kuacha baada ya kushindwa mimi ni independent trader sina mentor but one day nawish niwe na watu kaadhaa kutoka Jf family wawe wanapata free mentorship ila negative mind kama wewe una wivu sana, kwa mawazo yako namchukia ONTARIO haha he gave me Financial freedom and am yielding.
na utabaki kukoment kuhusu fx ila idadi ya a/c ulizounguza haijakuacha salama kisaikolojia
sijasema nahitaji kufundishwa fx na siijui but how am milking $ its enough.
View attachment 694936
my first trade 12min before London open and it is rocking. Patience patience
Naona umeandika insha kuubwa isiyo na mantiki!!

Siwezi nikaona unakosea nikakaa kimya, ni lazima nikujulishe ili na wewe ujifunze zaidi na zaidi, hivyo ndivyo tunavyoishi!!

Ungekua mtu timamu ungeenda mbele zaidi na kuhakikisha kama nnachokuambia ni kweli na kama ni uongo basi na mimi unikosoe na sio tofauti na hapo kiongozi!!

Kwenye forex tunajifunza kila siku na moja ya njia za kujifunza ni kukosolewa unapokosea!! Sasa kwanini ukikosolewa unaumia?

Hakuna mtu anayejua kila kitu na hata akina ronaldo japo ni professional players lakini wanafanya mazoezi kila siku!!
 
Naona umeandika insha kuubwa isiyo na mantiki!!

Siwezi nikaona unakosea nikakaa kimya, ni lazima nikujulishe ili na wewe ujifunze zaidi na zaidi, hivyo ndivyo tunavyoishi!!

Ungekua mtu timamu ungeenda mbele zaidi na kuhakikisha kama nnachokuambia ni kweli na kama ni uongo basi na mimi unikosoe na sio tofauti na hapo kiongozi!!

Kwenye forex tunajifunza kila siku na moja ya njia za kujifunza ni kukosolewa unapokosea!! Sasa kwanini ukikosolewa unaumia?

Hakuna mtu anayejua kila kitu na hata akina ronaldo japo ni professional players lakini wanafanya mazoezi kila siku!!
Great FX king
 
Great FX king
FX king ni akina george soros mkuu, mimi ni "upepo wa pesa" mkulima wa nyanya katika moja ya vijiji vya ndani kabisa hapa Tanzania.

Chukua ujumbe niliokupa na uufanyie kazi kwa manufaa yako mkuu!!
 
FX king ni akina george soros mkuu, mimi ni "upepo wa pesa" mkulima wa nyanya katika moja ya vijiji vya ndani kabisa hapa Tanzania.

Chukua ujumbe niliokupa na uufanyie kazi kwa manufaa yako mkuu!!
haha aliyekuwa mjumbe sahihi alikuwa ONTARIO tu na alifika wakati sahihi wewe umechelewa
 
FX king ni akina george soros mkuu, mimi ni "upepo wa pesa" mkulima wa nyanya katika moja ya vijiji vya ndani kabisa hapa Tanzania.

Chukua ujumbe niliokupa na uufanyie kazi kwa manufaa yako mkuu!!
Mu acknowledge basi hata The Bold kwa kukuambia George Soros ni nani mimi nilimsoma darasani
 
Chochote usichokijua ni fursa kwa anaekijua..
Hujui kusoma ni fursa kwa mwalimu
Hujui gari gani inakwenda wapi na nauli bei gani ni fursa kwa wagonga debe.

N.k!
 
FX king ni akina george soros mkuu, mimi ni "upepo wa pesa" mkulima wa nyanya katika moja ya vijiji vya ndani kabisa hapa Tanzania.

Chukua ujumbe niliokupa na uufanyie kazi kwa manufaa yako mkuu!!

Sawa ndugu LODRICK
 
traders wote tunaofanya vizuri kwenye biashara na waliounguza a/c sina shaka mu wazima japo mna maumivu kutokana na kuipania FX kama financial freedom

Biashara ya Forex imekuwa ikitrend huku jukwaani tangu mwaka jana mwez wa 7 japokuwa watu wengi waliingia rasmi mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka jana
Forex ni moja kati ya vyanzo vizuri vya kukuza kipato kama ukiifanya vizuri kwa kuzingatia mtiririko ufuatao

  1. fundamental analysis
  2. technical analysis
  3. sentimental analysis
Namshukuru bwana ONTARIO kwa kuitambulisha biashara hii hapa jukwaani nilikuwa sijawahi kuifanya tofauti na kuisoma tu chuoni kama somo na kumlaumu kwa kutumia ombwe hili kuwafanya mtaji watanzania wasiojua ABCs kuhusiana na Forex
Kiufupi ontario alinipa kiu ya kutaka kwanza kuijua forex kiundani niliichimba haswa sikutaka kuudhuria trainning yake sababu nilijua kwa wiki moja huwez ukawa successful trader.
Nimekuwa smart trader kutokana na kuchimba sana nilikuwa nikihisi kitu fulani hakipo sawa au hakijaingia akilini vizuri naingia kwenye vitabu na Mr google pembeni kuweka mambo barabara.

Namlaumu kwa kuwafanya watz walio wengi kupoteza pesa zao
Kuna mambo ambayo Tmt imeyafanya ndivyo sivyo

  1. Kuwachagulia trainees wake broker ambaye ni Jp markerts(hawa wana spread kubwa sana), , kuna pia baadhi ya screenshot zilitumwa huku mentor wao creaton akilalamika kuwa kuna watu wanatrade kwe broker wengne..broker huyu hata wasouth wenyewe sidhani kama wanamtumia
  2. Kutowaeleza ukweli wanafunzi wenu kuhusu mbivu na mbichi za fxtrading
  3. Kushirikiana na Jp markets kuchukua pesa za watanzania...maelezo juu ya hili...
Nchi yoyote ile dunia inataka kulinda tofauti kati ya pesa zinazoingia na zinazotoka iwe positive (Positive/favourable balance of payments) kwa kulizingatia hili baada ya BoT kuliona hili ilipiga marufuku pesa kutumwa nje kwenda Jp markets hivyo Ontario na jeshi lake waktumia njia hii kuanza kupokea deposits kupitia account yao ya TMT then unawainform Jp kuwa umedeposit pesa
View attachment 687553

Na vilevile kwa waliowin trade na kuwithdrawal wanalipwa na TMT
View attachment 687554
Picha gani inajengeka hapa Ontario anakula commission kubwa juu ya migongo ya Watz kwa pesa kupita kwake watu wanapodeposit na kuwithdrawal.
Vipi kama tukisema ontario kafanya Franchising (kwa wanaojua bishara watakuwa wameelewa kama hujaelewa google) ya JPMarkets Tanzania tutakuwa hatujakosea.

4. Kuwatishia wateja wake wanaotoa complaints na kupotea jukwaani kama sio kuja na Id nyingine

Binafsi mimi ni mnufaika wa biashara ya Fx kutokana na Ontario lakini hii haininyimi fursa ya kumkosoa
Nna a/c kutoka kwa broker 5 tofauti

  • FxPro.com hawa ni wadhamini wa Watford ya uingereza ntakuja kutoa mbinu ya kuwatumia
  • tickmill ya Sychelles hii kama unataka kupata pesa kwa kuwa referral unapata kupitia IB
  • IC markets ya Sydney Australia
  • TemplerFx kwa sababu ya access ya mpesa japokuwa si wazuri Ila ukiwa na uhitaji wa kutrade na kuwithdrawal laki au laki 2 nawatumia hawa ili nichukue pesa yangu kwa mpesa
  • BdSwiss hawa nimetokea kuwaamini kwa sababu wamekubalika na kusajiliwa marekani pia Cysec(EU) hivyo hawana chembe za utapeli
View attachment 687562

NOTE
BD swiss wamewahamishia wateja wa Africa kwenye branch yao ya Mauritius be care with sijui kama Maurious wana Ragulator wazuri au biashara ngenia kama ilivyoingia bongo ila ni wazuri
Kama una plan za kutrade mamilioni waache
Mwisho sipendekezi watu wawakimbie TMT bali wabadili mfumo wao, kwani wao wapo upande wa broker sio kwenu nyie

Najivunia kusoma na kupata maarifa

WanaJf Kuweni makini Ukiona Fursa ichimbe inside out usije ukageuzwa Fursa

N.B

  • Sijawahi kwenda Jangid Plaza kwenye training ya TMT
  • Sijaja hapa jukwaani kulia au kumlalamikia ontario nimekuja kuwafumbua macho kama hutaki sina cha kukulazimisha
  • Sina nia ya kumchafua au kumsifia yeyote
Sitegemei kuona Mods wakiugusa uzi huu

FOREX TENA !!!?????
witnessj ukuje huku taratibu
 
Mu acknowledge basi hata The Bold kwa kukuambia George Soros ni nani mimi nilimsoma darasani
Ningemu acknowledge kama nilijifunza kwake, ila kwa sababu sijajifunza kwake sikuona sababu ya kufanya hivyo.
 
will kill this broker today go short GBP as the base before 1900hrs
habari mkuu nina shida na wewe kima wazo tu. naomba uni text maana nimejaribu nimeona ume weka limiti plz tafadhari
 
Misukule bado mnacheza bahati nasibu..placing your fate on lowlife immature TMT baboons!!

Saivi wote mmeona kuwa ni imposible kutoboa kwa kitrade mmerudi mnajifanya walimu..hahaha crowding forex junkies!!

Endeleeni kupigwa vipara tu!
 
Back
Top Bottom