Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu

Tickmill waweza withdrawal kwa MPESA?
 
una viwanda vingapi?
 
una viwanda vingapi?

kwa vigezo vya cherehani nne ni kiwanda.. nina viwanda vingi sana...

1. ni mmiliki wa tshirt workshop

2. ni mmiliki wa studio ya kupiga picha za kisasa

3. ni mmiliki wa loundry and dry creaning shop

4. ni mmiliki wa car wash

5. ni mmiliki wa sehem za kuonesha mpira kadhaa...

na zingine nyingi ikiwemo mkulima
 
Hahaha,Freshman umesema kweli kabisa
 
hivyo ndivyo ulivyochagua maisha yako,na wengine wamechagua forex,heshimu uamuzi wao,hawali kwako
 
Kudownload pesa 'hewani'... hii kitu nilijaribu kutuliza akili zangu zooote za usiku & mchana, but nikawa naona chenga tu!

Nilianza kwa kujisomea vitabu me mwenyewe, then nikapractise kwa demo, nikawa sielewi... uduwanzi tu.

Eventually, nikaconfirm ule usemi wa kwamba 'FOREX isn't for everybody'. Hii kitu tuwaachie 'akili kubwa' akina Khantwe waendelee kudownload pesa hewani.

I re-switched back to street hustling.

-Kaveli-
 
Nitatoa nafasi moja ya mentorship bure kabisa sitahitaji malipo yoyote kwa atakayefanikiwa kupata nafasi hiyo.
Soon ntatoa update jinsi ntakavyompata

Nafurahi pia kuona watu wanakuja Pm kunichora
Tutumie MBs zetu kufanya yenye faida
Wale wale tu..yaani unakuja kimkandia Jeff kumbe unataka kuwa na wewe mentor..!!
 
Acha uoga baba mimi mwenyewe bado hata sielewi nikisoma vitabu nilikuwa chenga tu. Nenda training upate mwanga then urudi kusoma
 
Wale wale tu..yaani unakuja kimkandia Jeff kumbe unataka kuwa na wewe mentor..!!
Forex pays me pal, nikisema nianze mentorship ntachafua hali ya hewa.
Doesnt anyone want to download blue screen?? Nani hapendi pesa??
Nakuonea huruma
 
Kuna baadhi ya vitu ukivijua huitaji mambo mengi who sold GBPAUD today? It was a free signal (fundamental news)
 
GBPUSD breakout
my personal skills gonna kill the market
 
waiting for setup while milking few $$ and then market will get something of me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…