Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
- Thread starter
- #41
Nawaagiza Mbowe Lisu . Zitto, Membe wakutane Mara moja tunataka wabunge wengi na madiwani wengi. Huwezi kupata kura za uraisi ikiwa wagombea 500 qamekatwa. Nani atatia chachu ya kampeni,. Nani atalinda kura zako.
Naagiza viongozi CDM , ACT toeni siku moja ya kufuatilia kinachoendelea huko Dodoma. Nendeni tarehe Tisa niwaambie tupo DODOMA tumeahirisha kampeni kuchukua matokeo.
Msiache tume ijiamulie
Naagiza viongozi CDM , ACT toeni siku moja ya kufuatilia kinachoendelea huko Dodoma. Nendeni tarehe Tisa niwaambie tupo DODOMA tumeahirisha kampeni kuchukua matokeo.
Msiache tume ijiamulie