Payuka tu, kesho Kabudi anaanza ruti za kwenda huko kuomba misaada.Naona mmeanzisha uzi wa kujifariji! Hivi TL wenu si yupo ubelgiji kaunganeni nae huko sisi ni Nchi huru!.Hivi kwa akili zenu mnategemea hao mabeberu wenu watawasaidia? ,kutokuudhuria kwao si kitu kwetu!.Haizui sisi kuendelea na mambo yetu!.
Ndivyo walivyo lelewa bila ya vitisho wanaona ujumbe hautofikaKwa iyo crime against humanity dhidi ya magufuli na watu wake wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa waliyofanya Zanzibar, Songwe, Mara na Singida ni mambo ya kutunga????
Bwashee, mnataka kuninyang’anya hadi uraia wangu??? Mie nimeuliza swali tu, punguza hasira.
Hawawezi kuzuia sisi kuendelea na mambo yetu! Kutumia fedha za ndani katika Uchaguzi nu kielelezo kuwa sisi ni Nchi huru!Magu aliwatangazia,aliwahakikishia kuwa Uchaguzi utakuwa huru na wa haki..
Kawatia changa la macho,wamemkasitikia
Ni pesa ya wafadhili. Uwe unafuatiliaWewe mpumbavu ,sasa ni pesa ya nani inatumika?
Wewe unadhani ya nani jinga wewe,Kwa ukilaza wako unadhani pesa ya umeme vijijini ni ya kwetu???
Siku izi wanakuja wenyewe Siyo kwa serikali ya sasa ! Hatuishi kwa misaada sasa sisi!Payuka tu, kesho Kabudi anaanza ruti za kwenda huko kuomba misaada.
Kabisa yani hadi nimeshangaa mnoKwa mentality hizi Africa tutabaki mkianiani tu.......
Kweli,sisi ni nchi huru,yenye uchumi wa kati..Hawawezi kuzuia sisi kuendelea na mambo yetu! Kutumia fedha za ndani katika uchaguzi nu kielelezo kuwa sisi ni Nchi huru!
Hafla muhimu zaidi kwa balozi kuhudhuria kuonesha ishara ya urafiki na ushirikiano na serikali iliyoingia madarakani ni ile ya kuhudhuria kuapishwa kwa Rais. Balozi zote zilihudhuria hafla hiyo. Hili la ufunguzi wa Bunge halina kipaumbele kikubwa kidiplomasiaNi swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Achana na watu kama hawa. Sikio la kufa halisikii dawa.Badala ya kunitukana ni vizuri ukanipa majibu ya maswali niliyouliza. Hawa ndo watu wanaochangia bajeti yetu kwa asilimia kubwa sana na kuendesha miradi mingi hapa Tanzania inayotupa ajira na kipato. Kwa iyo ni vizuri ukalichukulia kwa makini hili jambo kuliko kuleta ushabiki maandazi
Usiseme Wazungu,sema Mabeberu!Yaani pamoja na matamko yote yale ya kutoridhishwa na namna Uchaguzi ulivyofanyika, ulitegemea waende pale kufanya nini?! Nakuhakikishia, japo jiwe amejitutumua pale Bungeni, lakini "deep inside" anajua ameharibu, na sijui ataanzia wapi kuwatongoza wale Wazungu.
Huyo amejiunga oct 2020. Anajua amejiunga kwa lengo gani. Acha kumpaisha. Just bonyeza ignoreKwa iyo crime against humanity dhidi ya magufuli na watu wake wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa waliyofanya Zanzibar, Songwe, Mara na Singida ni mambo ya kutunga????
Bwashee, mnataka kuninyang’anya hadi uraia wangu??? Mie nimeuliza swali tu, punguza hasira.
Utasubiri sana na hio popcorn yako hutapata chochote.Kuna kitu nahisi kinakuja, na si cha kawaida kwa kweli. Sie tulioibiwa Uchaguzi nafikiri huu ni muda sahihi kuchukua popcorn na kuangalia huu mchezo unavyozidi kuwa mtamu
Hao ndio watetezi wa wanyonge wasiokubaliana na udhalimu uliofanywa na magufuli kwenye box la kuraKwani hao wazungu mnaowasifu na kuwasujudu kila siku humu ndani jf ni akina nani hapa duniani. Msituchoshe hebu .