Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #121
Na Benki ya Dunia haikuleta mwakilishi
Radi Sumbawanga kipindi hiki cha mvua mbona kawaida mkuu?Mmeambiwa kuna RADI inakuja mjiandae.
Maisha ya kinafiki ndiyo yamekutawala
Kama hawakupewa mwaliko je?
Na ni lazima wawepo ndiyo nchi uendelee?
Watanzania tujifunze kujitegemea
Mtegemea cha nduguye ufa masikini
Ulitaka ukaliwe makalioni kiongozi?Kwa mentality hizi Africa tutabaki mkianiani tu.......
Mwenye shuhuli hakuwaalika. Wangelialikwa wangelifika tu, hizo ndizo protocols za kibalozi.Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Bado saruji ipo chini sn inatakiwa ifike elfu 80 maana nchi ipo kwenye uchumi wa katiTungoje tuone..
Pesa hamna mitaani,nasikia mfuko wa saruji 35000,Sukari 3500..
Hajitambui haya majamaaBila ya kuwa na ushirikiano wa Kimataifa, Tanzania si chochote Duniani..
Hata kama mnaringia hizo rasilimali,mkitengwa hizo rasilimali mtamuuzia Nani?
Msaada zaidi akampe TrampuuNi swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Uchaguzi bilioni 300 na usheee tumegharamikia wenyewe na chenji imebaki [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tanzania Ni Tajiri
Tanzania Nchi Ya Asali Na Maziwa
Donor Country!![emoji23][emoji16][emoji28][emoji57][emoji1][emoji1][emoji23][emoji1787]
Haa😂😁😀😀🙄Mfuko wa cement 35,000/ sukari kg 3500/.....
Walikuwepo wakati wa kuapishwa! Inatosha. Unalingine!?Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Unakipi chashindana na Mzungu au mnalishana ujinga tu! Mzungu alikuwa naakili miaka mingi mpaka kaja kutawala babu zetu niambie mtu mweusi alimtawala Nani...mnalishana matango pori tu!Kwa mentality hizi Africa tutabaki mkianiani tu.......
Miaka mitano ya Magufuri hatujawaomba msaada!Utajifunzaje kujitegemea wakati serikali yako inawategemea na haiwezi kuishi bila wao.
Weka ushahidi wa mabunge yaliyopita ambayo walihudhuria. Je kama wametuma wawakilishi wao kuna tatizo?Utaratibu unaonesha hawajai kukosekana kwenye shughuli kama hii.
Alafu kule New York Post napo wamekinukisha. Kweli mwaka huu lazima namba zisomeke
Msivimbiwe tu na hizo popcorn! Maana tunataka mjionee wenyewe namna TANZANIA inasimama kiuhalisia katika kujitegemea !Kuna kitu nahisi kinakuja, na si cha kawaida kwa kweli. Sie tulioibiwa Uchaguzi nafikiri huu ni muda sahihi kuchukua popcorn na kuangalia huu mchezo unavyozidi kuwa mtamu
Hata Zimbabwe imesimama saivi😂Msivimbiwe tu na hizo popcorn! Maana tunataka mjionee wenyewe namna TANZANIA inasimama kiuhalisia katika kujitegemea !
Una uhakika na unacho kisema?China inaitegemea Marekani na nchi za Ulaya kibiashara
China inafanya biashara kubwa na hizo nchi kuliko Afrika nzima..
Mkibanwa,Mchina atakuwa upande wa UN..
Usidanganye