Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Utajifunzaje kujitegemea wakati serikali yako inawategemea na haiwezi kuishi bila wao.
Maisha ya kinafiki ndiyo yamekutawala
Kama hawakupewa mwaliko je?
Na ni lazima wawepo ndiyo nchi uendelee?
Watanzania tujifunze kujitegemea
Mtegemea cha nduguye ufa masikini
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Mwenye shuhuli hakuwaalika. Wangelialikwa wangelifika tu, hizo ndizo protocols za kibalozi.
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amserdam ameitaliifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Msaada zaidi akampe Trampuu
 
Tanzania Ni Tajiri
Tanzania Nchi Ya Asali Na Maziwa
Donor Country!![emoji23][emoji16][emoji28][emoji57][emoji1][emoji1][emoji23][emoji1787]
Uchaguzi bilioni 300 na usheee tumegharamikia wenyewe na chenji imebaki [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mfuko wa cement 35,000/ sukari kg 3500/.....
Haa😂😁😀😀🙄
Usinikumbushe Enzi Za Mwijage Anapiga Domo Tu
Sukari, Mafuta Ya Kupikia Bei Juu
Akiwa Bungeni Hakuna, Baadaye Akawa Jipu Akaiva Akatumbuliwa. Naona Hali Tete Sana
 
Kwa mentality hizi Africa tutabaki mkianiani tu.......
Unakipi chashindana na Mzungu au mnalishana ujinga tu! Mzungu alikuwa naakili miaka mingi mpaka kaja kutawala babu zetu niambie mtu mweusi alimtawala Nani...mnalishana matango pori tu!
 
Tanzania ni km ulaya sasa hao wa ulaya wakija tunakua km mapacha so ni uhatibifu tu wa raslimali watu..... Ndio maana hawakuua🤔🤔
 
Back
Top Bottom