Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Sawasawa wakati ni jibu
Wewe jamaa kipindi cha kampeni nilikwambia una upeo mdogo sana wa kufikiri, nikakwambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. ukawa mbishi. Baada ya uchaguzi ukapotea humu, umerudi na ngonjera nyingine feki. Mnatia huruma sana wafuasi wa Lissu na Lissu wenu. Ndo hivyo Raisi ni JPM na kwa akili hizi mpaka 2025 Chadema itakuwa Kama SAU au CHAUMA.
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Jibu lipo wazi. Mhutu kalikoroga, sasa alinywe.
 
Lissu kutokua rais kwa kumuibia kura zake mbona ni possible and thats what happened!

Kwa mujibu wa kuiba kura ni kweli ulikua sahihi hawezi kua rais!

And that makes you are hero?

No

Its makes you super stupid
Nilimwambia by any means necessary Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hapa duniani ujanja ni kupata, kama mnataka haki subiri mwende mbinguni. Hizo habari za HERO na sijui upuuzi gani unazijua wewe. Ila Raisi ni JPM hata muwe na hasira kiasi gani haisaidii. Upinzani subirini hadi 2050 labda.
 
Nilimwambia by any means necessary Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hapa duniani ujanja ni kupata, kama mnataka haki subiri mwende mbinguni. Hizo habari za HERO na sijui upuuzi gani unazijua wewe. Ila Raisi ni JPM hata muwe na hasira kiasi gani haisaidii. Upinzani subirini hadi 2050 labda.
Siku si nyingi utaamini maneno ya Msemo “ Haki ya Mtu haipotei “ kuwa ni ya kweli na yanafanya kazi.
 
Wanaepuka mikusanyiko sababu ya corona. Wala hakuna sababu nyingine
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Tulia kijana, zao la mabeberu.
 
Yaani pamoja na matamko yote yale ya kutoridhishwa na namna Uchaguzi ulivyofanyika, ulitegemea waende pale kufanya nini?!

Nakuhakikishia, japo jiwe amejitutumua pale Bungeni, lakini "deep inside" anajua ameharibu, na sijui ataanzia wapi kuwatongoza wale Wazungu.
HATA TRUMP ALISUSIA MATOKEO, LAKINI MBONA NCHI INA SONGA MBELE....??
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Dikteta ataishia pabaya sana.
 
Inawezekana wewe hapo ulipo leo umefika kwa mizinga ila sahau ni dawa. Endelea kujitibia na kujifariji. JPM kwenye kampeni alikuwa muwazi alipiga mzinga kwa Chenge.
imekugusa hiyooo ya mizinga ehh, tafta kaz
 
Back
Top Bottom