Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Azam complex ni uwanja wa Azam, kama uchawi unacheza mpira Azam walikuwa na muda wa kufanya kafara zote kama Popoma mkuu anavyoamini uchawi unacheza mpira.
Wakati Yanga wametulia kimya Avic town kuna wazururaji wa Msimbazi na Chamanzi walini kwenda kuzurura nje ya Tanzania ndio kuandaa timu.
Sasa pumba na mchele vinaanza kujitenga wazuraji na waliokaa kambini Avic town kuandaa timu nani ameandaa timu?
Simba wanashindwa mechi zao lakini hawana furaha wakiangalia moto wa Yanga na kambi ya Avic town.
Simba imepigwa 3 bila na Raja Casablanca hapo kwa Mkapa hatoki mtu, je hamkuroga?
Majibu ni kuandaa timu kisayansi tu na si vinginevyo.
Nilipenda sana leo Azam wavuke hii hatua lakini uwezo wao umeishia hapo, tujipe pole Watanzania naamini wapenda mpira wote leo tulikuwa upande wa Azam ila uwezo umeamuwa matokeo.
Wakati Yanga wametulia kimya Avic town kuna wazururaji wa Msimbazi na Chamanzi walini kwenda kuzurura nje ya Tanzania ndio kuandaa timu.
Sasa pumba na mchele vinaanza kujitenga wazuraji na waliokaa kambini Avic town kuandaa timu nani ameandaa timu?
Simba wanashindwa mechi zao lakini hawana furaha wakiangalia moto wa Yanga na kambi ya Avic town.
Simba imepigwa 3 bila na Raja Casablanca hapo kwa Mkapa hatoki mtu, je hamkuroga?
Majibu ni kuandaa timu kisayansi tu na si vinginevyo.
Nilipenda sana leo Azam wavuke hii hatua lakini uwezo wao umeishia hapo, tujipe pole Watanzania naamini wapenda mpira wote leo tulikuwa upande wa Azam ila uwezo umeamuwa matokeo.