Amekwambia nani ? Unapo muadhibu mwanao baada ya kukosea (hapa napo Kuna uhuru) huwa anakuwa hayuko huru ? Huwezi kuutenganisha uhuru na kupatia au kukosea.Unaelewa mantiki ya uhuru haiambatani na adhabu?
Ndio maana hata wewe Leo hii unamkana aliye kuumba na anakupa pumzi, huu ndio uhuru kamili sasa.Unampa mtoto uhuru wa kuchagua kula Biriani au Pizza, huo ndio uhuru.
OkayNilikuuliza ututajie sifa za kitu kilicho jificha ni zipi ? Hukujibu hili swali.
Sasa huu mfano wako si kamili na huwezi kuuweka au kuulinganisha na uhuru alio tupa Allah.Kumuambia mwanamke unaye mtongoza achague kati ya kukupenda wewe au kutokupenda halafu ukasema akichagua kutokupenda wewe utamuua. Huo sio uhuru wa kuchagua
Hiyo ni amri.
Sasa kwanini umesema Mola amejificha na Hana sifa hizo ulizo zitaja hapa ?Okay
Kilichojificha huwa kina sifa ya kuogopa
Kina sifa ya kutojiamini
Na ukichagua mema unaenda peponi, kwahiyo ni hiari yako wewe tena ukawekewa wazi kabisa. Ili usije kusema hukuambiwa.Sasa Mungu anasema amekupa uhuru wa kuchagua mema na mabaya, ukichagua mabaya unaenda motoni kuchomwa milele.
Huo sio uhuru hiyo ni amri yenye kitisho.
Ameweka kitisho kilichowalazimisha watu wawe wanafki wafanye anayotaka ilimradi tu wasichomwe moto.
Na ndio maana imekuwa bora na akaufanya ni kituo Cha kuelezea katika hatima kuu.Wakati anafanya hivyo, lengo lake si lilikuwa kuufanya ulimwengu uwe bora?
Huo ni ukamilifu wake na akaamua iwe hivyo, huo si kutokukamilika.Sasa kama aliweza kuona yatayojiri kabla hayajatokea maana yake aliona imperfections zote.
Unarudia nukta Ile Ile, ambayo nimeshaijobu.Na alikuwa na uwezo wa kubadili au kuboresha kuondoa hizo imperfections lakini akaziacha.
Maana yake huu ulimwengu wenye njaa, masunami, vimbunga, matetemeko, magonjwa, yanayoua mamilioni ya watu ikiwemo watoto wadogo wasiojua baya na zuri.
Kwa Mungu huu ndio ulikuwa ulimwengu bora kwake wakati anachagua aina gani ya ulimwengu bora kwa ajili ya viumbe wake anaosema anawapenda kwa upendo wote.
Kwa maana hiyo sasa ndio tunarudi kwenye hoja yangu kuwa ni Mungu anayetengeneza ugonjwa kisha anataka umlilie ili akupe dawa.
Halafu ukipona uanze kumsifia kuwa anakujali wakati kiuhalisia yeye ndiye aliyekutengenezea tatizo.
Bado hujaonyesha ujinga wake, bali umeonyesha ya kuwa ni kwa namna gani humjui.So Mungu huyu ana inferiority haamini kwenye kupendwa bila kutengeneza drama, haamini kuwa anaweza kusifiwa bila kutengeneza tatizo ili umrejee kumlilia.
Ni Mungu wakijinga anayependa sifa za kishamba.
Mantiki yako ya kunikosoa maana ya uzembe ina lengo la kuthibitisha au kubadili nini kwenye hoja yangu?Tafuta katika kamusi zote za lugha zote hakuna maana ya uzembe hii au hiki unachokiita wewe ni uzembe si uzembe.
Kama kila kitu kimepangiliwa na kinatokea kwasababu, maana yake hatuna uchaguzi. Tunafanya kile tulichoamuliwa tufanye.Kingine tamko "Ubovu" au "mbovu" haliingii kwenye "Ulimwengu". Kila kitu ambacho kipo katika ulimwengu kimepangiliwa na kinatokea kwa sababu maalumu aidha unazijua au huzijui.
Ulimwengu kwa wenyewe hauruhusu mbaya kutokea, hilo unakosea kila muda. Sahihisha kwanza kauli yako.
Maana yake hana upendo wote?Bado hujaonyesha uzembe sababu, haya yote anataka yeye yatokee na asingetaka yatokee yasingetokea pia.
Mungu alimuumba Adam kwa udongo.Bado hujaonyesha uzembe na hakuna maana ya uzembe ambayo unajaribu wewe kuelezea, hapa ni wewe unaonyesha ya kuwa humjui Mola.
Ulimwengu kuuhusiaha na udhaifu ni udhaifu wa akili yako, mwanadamu kuwa mdhaifu ndio ukamilifu wenyewe sababu amewekewa vitu na mazingira ambayo yanaleta ukamilifu.
Bado hujaonyesha uzembe unao dai.
Huko juu umesema kila kitu kimepangiliwa na kinafanyika kwasababu maalumu.Ubaya wake uko wapi ? Wakati huu ni utaratibu ameuweka ya kwamba ili ufikie hapa lazima upitie hapa.
Kwa wa Africa ? Kwamba tunaomuabudu Mungu ni Waafrica pekee ? Wakristo na Waislamu wapo Africa tu ?Na hiki ndicho waliotuletea hizo dini walichokitaka (UOGA) na wamefanikiwa 100% kwa waafrikaView attachment 2756463
Katika thinking ya kiutu hilo jambo linaweza ku sound very reasonable.Mwanadamu ni dhaifu ila amewekewa mazingira ya kufikia ukamilifu ambayo yako wazi, kwamba akikosea akiomba msamaha anasamehewa, akifanya juhudi anapata akifanya wema analipwa wema na amepewa uhuru wa kuchagua, huu ndio ukamilifu wenyewe.
ni kibri wakati ukiwa na afya!!!Habarini wakuu,
Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?
Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?
Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?
Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.
Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
[emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].
Famous People Who Mocked God
Here are the top 5 influential people who famously mocked god and ended up dead
1. John Lennon (The Beatles)
John Lennon was a British legendary who co-founded the British invasion band called ‘The Beatles‘ in the 1960s. Lennon and co-writer Paul McCartney wrote hundreds of songs together along with George Harrison and Ringo Star, and together they remained at the top of the list for nearly a decade. The ladies were especially head over heels in love with John Lennon.
Some years ago, during his interview with an American Magazine, Lennon had said: “Christianity will end, it will disappear. I do not have to argue about that. I am certain. Jesus was okay, but his subjects were too simple, today we are more famous than Him” (1966).
His remark led to an outrage among his fans and triggered a protest rally, people thought he mocked God, where people expressed their anger by setting their vinyl records and The Beatles’ posters afire. In 1970, The Beatles disbanded.

On the 8th of December 1980, Lennon was shot six times in his head by one of his fanatics in front of his house and died on the spot. Interesting fact, he kind of did predict how he would die. Now, that’s spooky!
2. Marilyn Monroe (Hollywood Celebrity)
She had the perfect life that anyone could ever dream of; a remarkable amount of wealth and great fame, and she was astoundingly beautiful.

One day during filming, she was visited by Billy Graham during a presentation of a show. He said the Spirit of God had sent him to preach to her. After hearing what the Preacher had to say, she said: ‘I don’t need your Jesus’. A week later, she was found dead in her bedroom.
The most accepted theory suggested she was suffering from depression and committed suicide. In fact, it was actually the right time for her to seek God but she mocked God.
3. Thomas Andrews (Titanic Shipbuilder)
[https://icytales]By Everett Collection/ Shutterstock
Thomas Andrews was inspired to build a ship that would be legendary during his time. After the construction of the mighty Titanic, a British luxury liner, a reporter asked him how safe the Titanic would be. With an ironic tone, he said, ”Even God himself couldn’t sink the ship”.
The result: I think you all know what happened to the Titanic.
[https://icytales]Icy Media
4. Tancredo Neves (President of Brazil)
During his Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him from Presidency.
Sure, he got the votes, but the unfortunate fella got sick a day before he was made President and died.
5. Bon Scott (AC/DC Former Vocalist)
[https://icytales]By loudersound.com
Scott in his golden days with AC/DC since 1974 had replaced Dave Evans as the vocalist of the band. On one of his 1979 songs he sang: ‘Don’t stop me; I’m going down all the way, down the highway to hell’.
A year later, Scott was found dead on 19 February 1980; he choked on his own vomit.
Humans can only come up with theories, but God alone knows the true reasons for their death.
Zingatia hayaNAISIKITIKIA AFRIKA YANGU
Sijui nani atakuja kutukomboa
Tumejiharibu na kuharibu vizazi vyetu karne hadi karne kwa kuaminishwa stori za kufikirika tena za mataifa ya mbali ambazo zimejazwa hofu,vitisho,chuki na ahadi kwa wafuasi wake
Ni kwa Waafrika pekee ambapo maisha bora yanapatikana baada ya kufa eti dunian sio lolote sio chochote kwao, jambo ambalo limetufanya kuwa kituko kwa dunia nzima
Watu wanakesha kufanya maisha bora duniani mfn china,marekani,korea nk waafrika tuko bize kutafuta maisha bora baada ya kufa the same bullshit we have inherited to our generations for years
Ukweli ambao watu wanagoma kuukubali ni kuwa Mungu mnaelezewa kwenye vitabu vya dini hayupo zaidi ya fictious stories kama zingine tu, mmejazana hofu,chuki ahadi za uongo na kweli , na limited beliefs systems ambazo zinawazuia kufunguka kwenye ukweli
Jiulize maswali yafuatayo kabla hujaanza kulinda dini unayoitetea.
1.Kwanini taarifa za Mungu uletewe na watu kutoka nje ya bara lako,watu ambao sio wa asili yako? Au kwanini unatakiwa kuambiwa habari za Mungu na sio kwamba ulitakiwa mjue naturally? Kwa jinsi ambavyo Mungu anaelezewa kwenye vitabu vya dini na ukuu wake wote ,nikweli anahitaji mawakala ili mjue?
2.Kwanini Mungu amuumbe shetani ambae badae wanaanza kugombea waumini tena muda mwingine wanashirikiana kabisa ,?
Kwa kifupi shetani ni mtaji wa Mungu wa kwenye vitabu vya dini
3.Kwanini Hutakiwi kutumia akili ya kibinadamu ili kumuelewa ilihali amekuumba na akili hiyo hiyo ili iwe utambuzi kwako? Ogopa sana elimu unayopewa afu unaambiwa hupaswi kuhoji
4.Kwanini waafrika sehemu zao tukufu (holy places) zipo nje ya Afrika mfano macca,roma italy Israel nk unlike china,india,korea nk
5.Kwanini maisha bora yapo baada ya kufa lakini tunayaanda duniani,kwan haya tuyaoshi saizi tuliyaanda wapi?
6.Kwanini elimu pekee tunayoipata kikamilifu kwa lugha zetu ni elimu za dini, hakuna vitabu vya sciences, engineering, economics, hata politics vilivyopo kwa lugha zetu?
Nadhani mnaelewa lengo la kusoma elimu fulani kwa lugha yako
7.kwanini tunatakiwa kuwachukia wale wasio amini kama sisi,kama tuna adui mmoja kwanini tusiungane kumshinda adui,? Kwanini mtaji wa dini ni wapinzani wao?
8.Kwann vitabu vya dini vina mikangaiko mingi sana ambayo haiingii akilini isipokuwa kwa nguvu ya vitisho?
Mwisho.
Ubaya ni ubaya bila kujali kafanya nani as long as kitu fulani huwezi kujifanyia na haupo tajari kufanyiwa kutokana na madhara yake kwako basi usimfanyie mwingine.
Huitaji kutishiwa moto ili kujua hili
Natumia empathy kupima ubaya au uzuri wa kituNakuuliza swali, kwani kufa ni kitu kibaya ? Mpaka useme watoto hawana hatia ? Hao wanao kufa ni muda wao umefika na rizki yao imekatika. Mafuriko ni sababu ya kifo Chao.
Unatumia nini kupima uzuri na ubaya wa kitu ?
Kama hakuna kitu kinachofanyika bila yeye kukiruhusu, utamjaji vipi mtu kuwa kafonya kosa?Hakuna.
HahahaKwa bahati mbaya huwa wanakuja kukopa kwa sisi wapagani.