Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Unaelewa mantiki ya uhuru haiambatani na adhabu?
Amekwambia nani ? Unapo muadhibu mwanao baada ya kukosea (hapa napo Kuna uhuru) huwa anakuwa hayuko huru ? Huwezi kuutenganisha uhuru na kupatia au kukosea.

Kijana hata hili dogo linakushinda kuling'amua ?
 
Unampa mtoto uhuru wa kuchagua kula Biriani au Pizza, huo ndio uhuru.
Ndio maana hata wewe Leo hii unamkana aliye kuumba na anakupa pumzi, huu ndio uhuru kamili sasa.
 
Kumuambia mwanamke unaye mtongoza achague kati ya kukupenda wewe au kutokupenda halafu ukasema akichagua kutokupenda wewe utamuua. Huo sio uhuru wa kuchagua

Hiyo ni amri.
Sasa huu mfano wako si kamili na huwezi kuuweka au kuulinganisha na uhuru alio tupa Allah.

Allah alipo tuumba akatupa uhuru wa kuchagua, bali akatupa na natija ya kila chaguzi kwa maana, ukichagua hili hatima yake ni hii na ukichagua lile hatima ni Ile. Ili ukija kuhukumiwa ukosee cha kujitetea, sababu usingebainishiwa napo ungelalamika.

Allah anaumba na ni Mjuzi, ndio maana wewe akili yako imeishia katika mfano huu.

Hujui amri kijana, amri haifungamani na natija, jifunze lugha walau kidogo. Amri ni hii "Simama haraka" au "Njoo". Hii ndio amri.
 
Okay

Kilichojificha huwa kina sifa ya kuogopa

Kina sifa ya kutojiamini
Sasa kwanini umesema Mola amejificha na Hana sifa hizo ulizo zitaja hapa ?

Ndio maana huwa napenda muwe mnajibi maswali, sababu ujinga wenu huzidi kuonekana.
 
Sasa Mungu anasema amekupa uhuru wa kuchagua mema na mabaya, ukichagua mabaya unaenda motoni kuchomwa milele.

Huo sio uhuru hiyo ni amri yenye kitisho.

Ameweka kitisho kilichowalazimisha watu wawe wanafki wafanye anayotaka ilimradi tu wasichomwe moto.
Na ukichagua mema unaenda peponi, kwahiyo ni hiari yako wewe tena ukawekewa wazi kabisa. Ili usije kusema hukuambiwa.

Hakuna amri ya namna hiyo, huo ni uhuru kamili. Ili ukosee cha kujitetea.

Sasa unafiki nao ni kitu kibaya, na Allah hataki mtu mnafikiria, Sasa ukifanya unafiki ni wewe.

Lakini, vile vile akaweka msamaha ukikosea unasamehewa, maana ukiingia peponi ujue umetaka wewe, kwa uhuru ambao ametupa.
 
Wakati anafanya hivyo, lengo lake si lilikuwa kuufanya ulimwengu uwe bora?
Na ndio maana imekuwa bora na akaufanya ni kituo Cha kuelezea katika hatima kuu.
Sasa kama aliweza kuona yatayojiri kabla hayajatokea maana yake aliona imperfections zote.
Huo ni ukamilifu wake na akaamua iwe hivyo, huo si kutokukamilika.
Na alikuwa na uwezo wa kubadili au kuboresha kuondoa hizo imperfections lakini akaziacha.

Maana yake huu ulimwengu wenye njaa, masunami, vimbunga, matetemeko, magonjwa, yanayoua mamilioni ya watu ikiwemo watoto wadogo wasiojua baya na zuri.
Unarudia nukta Ile Ile, ambayo nimeshaijobu.
Kwa Mungu huu ndio ulikuwa ulimwengu bora kwake wakati anachagua aina gani ya ulimwengu bora kwa ajili ya viumbe wake anaosema anawapenda kwa upendo wote.

Kwa maana hiyo sasa ndio tunarudi kwenye hoja yangu kuwa ni Mungu anayetengeneza ugonjwa kisha anataka umlilie ili akupe dawa.

Halafu ukipona uanze kumsifia kuwa anakujali wakati kiuhalisia yeye ndiye aliyekutengenezea tatizo.

Hilo hataki Wala Hana shida yoyote ndio maana amekupa uhuru wewe.

Na ahitaji sifa zako Wala umsifie.
 
So Mungu huyu ana inferiority haamini kwenye kupendwa bila kutengeneza drama, haamini kuwa anaweza kusifiwa bila kutengeneza tatizo ili umrejee kumlilia.

Ni Mungu wakijinga anayependa sifa za kishamba.
Bado hujaonyesha ujinga wake, bali umeonyesha ya kuwa ni kwa namna gani humjui.

Nasubiri hoja.
 
Tafuta katika kamusi zote za lugha zote hakuna maana ya uzembe hii au hiki unachokiita wewe ni uzembe si uzembe.
Mantiki yako ya kunikosoa maana ya uzembe ina lengo la kuthibitisha au kubadili nini kwenye hoja yangu?

Kwamba uzembe ni neno lenye maana ambayo ni positive na hivyo nimepotosha kulitumia kumuelezea negative Mungu?

Au ni sahihi kuwa neno hilo la uzembe haliwakilishi positive thing na hata ukikosoa kwa kuweka maana sahihi, halitaweza kuonesha ubora wa kitu?
 
Kingine tamko "Ubovu" au "mbovu" haliingii kwenye "Ulimwengu". Kila kitu ambacho kipo katika ulimwengu kimepangiliwa na kinatokea kwa sababu maalumu aidha unazijua au huzijui.

Ulimwengu kwa wenyewe hauruhusu mbaya kutokea, hilo unakosea kila muda. Sahihisha kwanza kauli yako.
Kama kila kitu kimepangiliwa na kinatokea kwasababu, maana yake hatuna uchaguzi. Tunafanya kile tulichoamuliwa tufanye.

Kama kila kitu kimepangiliwa na hutokea kwa sababu maalumu, kwanini kuwe na adhabu siku ya mwisho?

Kama kila kitu kimepangilia ni ipi nafasi ya kumlaumu binadamu kwa kufanya ndivyo sivyo?
 
Bado hujaonyesha uzembe na hakuna maana ya uzembe ambayo unajaribu wewe kuelezea, hapa ni wewe unaonyesha ya kuwa humjui Mola.

Ulimwengu kuuhusiaha na udhaifu ni udhaifu wa akili yako, mwanadamu kuwa mdhaifu ndio ukamilifu wenyewe sababu amewekewa vitu na mazingira ambayo yanaleta ukamilifu.

Bado hujaonyesha uzembe unao dai.
Mungu alimuumba Adam kwa udongo.

Udongo alioutoa ardhini hapa duniani.

Sisi wote ni zao la Adam.

That means sisi asili yetu ni ulimwengu kupitia udongo.

Sasa ikiwa kama kweli akili yangu ina udhaifu, huoni nafasi ya ulimwengu kuwa na udhaifu pia kwasababu uli-generate udongo ambao ulitumika kuumba viumbe ambavyo vikizaliana miongoni mwao kuna viumbe vitakuwa na akili dhaifu?
 
Ubaya wake uko wapi ? Wakati huu ni utaratibu ameuweka ya kwamba ili ufikie hapa lazima upitie hapa.
Huko juu umesema kila kitu kimepangiliwa na kinafanyika kwasababu maalumu.

Kama kila kitu kimepangiliwa na kinafanyika kwasababu maalumu, huoni njia yeyeto atayopita binadamu ni sehemu ya mipangilio aliyowekewa na Mungu?
 
Mwanadamu ni dhaifu ila amewekewa mazingira ya kufikia ukamilifu ambayo yako wazi, kwamba akikosea akiomba msamaha anasamehewa, akifanya juhudi anapata akifanya wema analipwa wema na amepewa uhuru wa kuchagua, huu ndio ukamilifu wenyewe.
Katika thinking ya kiutu hilo jambo linaweza ku sound very reasonable.

Lakini katika perspective ya Mungu hilo jambo ni ridiculous.

Mungu mjuzi wa yote hawezi kufanya betting.

Alishajua kila kitu mapema hata kabla hajakuumba kuwa akikuumba na udhaifu bado hautaweza kufanya kile apendacho.

Alishajua mapema kuwa udhaifu huo anaotarajia kumuumbia mtu, utamfanya huyo kiumbe awe mkaidi hata pale atapoweka msamaha ili mtu huyo ajisalimishe kwake.

Kwa mantiki hiyo Mungu alikuwa na choice ya kuachana na mfumo huo kwasababu alikwisha ona out come yake yote.

Lakini aliamua kupitisha wazo hilo.

Maana yake alijiandaa na matokeo yake.

Maana yake Mungu ndio alipenda kuona watu wanaishi kwa mfumo huo.

Maana yake binadamu hawezi kulaumiwa kwa namna alivyokuwa kwasababu ni asili iliyopo ndani yake na hakuweza kuepuka.
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?

[emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].

Famous People Who Mocked God

Here are the top 5 influential people who famously mocked god and ended up dead

1. John Lennon (The Beatles)

John Lennon was a British legendary who co-founded the British invasion band called ‘The Beatles‘ in the 1960s. Lennon and co-writer Paul McCartney wrote hundreds of songs together along with George Harrison and Ringo Star, and together they remained at the top of the list for nearly a decade. The ladies were especially head over heels in love with John Lennon.

Some years ago, during his interview with an American Magazine, Lennon had said: “Christianity will end, it will disappear. I do not have to argue about that. I am certain. Jesus was okay, but his subjects were too simple, today we are more famous than Him” (1966).

His remark led to an outrage among his fans and triggered a protest rally, people thought he mocked God, where people expressed their anger by setting their vinyl records and The Beatles’ posters afire. In 1970, The Beatles disbanded.



On the 8th of December 1980, Lennon was shot six times in his head by one of his fanatics in front of his house and died on the spot. Interesting fact, he kind of did predict how he would die. Now, that’s spooky!

2. Marilyn Monroe (Hollywood Celebrity)

She had the perfect life that anyone could ever dream of; a remarkable amount of wealth and great fame, and she was astoundingly beautiful.



One day during filming, she was visited by Billy Graham during a presentation of a show. He said the Spirit of God had sent him to preach to her. After hearing what the Preacher had to say, she said: ‘I don’t need your Jesus’. A week later, she was found dead in her bedroom.

The most accepted theory suggested she was suffering from depression and committed suicide. In fact, it was actually the right time for her to seek God but she mocked God.

3. Thomas Andrews (Titanic Shipbuilder)

[https://icytales]By Everett Collection/ Shutterstock

Thomas Andrews was inspired to build a ship that would be legendary during his time. After the construction of the mighty Titanic, a British luxury liner, a reporter asked him how safe the Titanic would be. With an ironic tone, he said, ”Even God himself couldn’t sink the ship”.

The result: I think you all know what happened to the Titanic.

[https://icytales]Icy Media

4. Tancredo Neves (President of Brazil)

During his Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him from Presidency.

Sure, he got the votes, but the unfortunate fella got sick a day before he was made President and died.

5. Bon Scott (AC/DC Former Vocalist)

[https://icytales]By loudersound.com

Scott in his golden days with AC/DC since 1974 had replaced Dave Evans as the vocalist of the band. On one of his 1979 songs he sang: ‘Don’t stop me; I’m going down all the way, down the highway to hell’.

A year later, Scott was found dead on 19 February 1980; he choked on his own vomit.

Humans can only come up with theories, but God alone knows the true reasons for their death.
ni kibri wakati ukiwa na afya!!!
 
NAISIKITIKIA AFRIKA YANGU

Sijui nani atakuja kutukomboa
Tumejiharibu na kuharibu vizazi vyetu karne hadi karne kwa kuaminishwa stori za kufikirika tena za mataifa ya mbali ambazo zimejazwa hofu,vitisho,chuki na ahadi kwa wafuasi wake
Ni kwa Waafrika pekee ambapo maisha bora yanapatikana baada ya kufa eti dunian sio lolote sio chochote kwao, jambo ambalo limetufanya kuwa kituko kwa dunia nzima

Watu wanakesha kufanya maisha bora duniani mfn china,marekani,korea nk waafrika tuko bize kutafuta maisha bora baada ya kufa the same bullshit we have inherited to our generations for years

Ukweli ambao watu wanagoma kuukubali ni kuwa Mungu mnaelezewa kwenye vitabu vya dini hayupo zaidi ya fictious stories kama zingine tu, mmejazana hofu,chuki ahadi za uongo na kweli , na limited beliefs systems ambazo zinawazuia kufunguka kwenye ukweli

Jiulize maswali yafuatayo kabla hujaanza kulinda dini unayoitetea.

1.Kwanini taarifa za Mungu uletewe na watu kutoka nje ya bara lako,watu ambao sio wa asili yako? Au kwanini unatakiwa kuambiwa habari za Mungu na sio kwamba ulitakiwa mjue naturally? Kwa jinsi ambavyo Mungu anaelezewa kwenye vitabu vya dini na ukuu wake wote ,nikweli anahitaji mawakala ili mjue?

2.Kwanini Mungu amuumbe shetani ambae badae wanaanza kugombea waumini tena muda mwingine wanashirikiana kabisa ,?
Kwa kifupi shetani ni mtaji wa Mungu wa kwenye vitabu vya dini

3.Kwanini Hutakiwi kutumia akili ya kibinadamu ili kumuelewa ilihali amekuumba na akili hiyo hiyo ili iwe utambuzi kwako? Ogopa sana elimu unayopewa afu unaambiwa hupaswi kuhoji

4.Kwanini waafrika sehemu zao tukufu (holy places) zipo nje ya Afrika mfano macca,roma italy Israel nk unlike china,india,korea nk

5.Kwanini maisha bora yapo baada ya kufa lakini tunayaanda duniani,kwan haya tuyaoshi saizi tuliyaanda wapi?

6.Kwanini elimu pekee tunayoipata kikamilifu kwa lugha zetu ni elimu za dini, hakuna vitabu vya sciences, engineering, economics, hata politics vilivyopo kwa lugha zetu?
Nadhani mnaelewa lengo la kusoma elimu fulani kwa lugha yako

7.kwanini tunatakiwa kuwachukia wale wasio amini kama sisi,kama tuna adui mmoja kwanini tusiungane kumshinda adui,? Kwanini mtaji wa dini ni wapinzani wao?

8.Kwann vitabu vya dini vina mikangaiko mingi sana ambayo haiingii akilini isipokuwa kwa nguvu ya vitisho?

Mwisho.
Ubaya ni ubaya bila kujali kafanya nani as long as kitu fulani huwezi kujifanyia na haupo tajari kufanyiwa kutokana na madhara yake kwako basi usimfanyie mwingine.
Huitaji kutishiwa moto ili kujua hili
Zingatia haya
 
Nakuuliza swali, kwani kufa ni kitu kibaya ? Mpaka useme watoto hawana hatia ? Hao wanao kufa ni muda wao umefika na rizki yao imekatika. Mafuriko ni sababu ya kifo Chao.

Unatumia nini kupima uzuri na ubaya wa kitu ?
Natumia empathy kupima ubaya au uzuri wa kitu

Kufa ndio nikitu kibaya na ndio maana ukiugua unaenda hospitalini kutibiwa ili usife.

Hauwezi kufurahia mwanao augue ili afe akamuone Allah.

Kufa ni kubaya na ndio maana hata modern Mosque ina fire extinguisher, emergency alarm nk.

Wanafanya hayo yote kwasababu watu hawapendi kufa, hivyo kifo kitokee tu kwasababu ni nje ya uwezo wao, watu wameshindwa kukidhibiti ila caution zote zilichukuliwa.

Kifo ni kibaya ndio maana unafanya kila kitu kuhakikisha unazuia mianya yote inayoweza kukuweka kwenye hatari ya kuweza kufa.

Kifo ni kibaya na ndio maana hauwezi kucheka au kufurahishwa na taarifa ya kifo cha mtu uliyekuwa unampenda sana.
 
Back
Top Bottom