Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Yes, Mammary glands zipo kwenye Cow's abdomen,... Pitia sources mbalimbali utaona hivyo.

Location between faeces and blood, Ni kama nilivyosema kwamba production ya milk inafanyika near the digestive system ya Cow, which means food inakua transformed into faeces, while some nutrients zinatumika kwenye production ya Milk. (So, it's obvious &clear kwamba mpaka digestion inakamilika damu na faeces zinakua zishatengana)... Hivyo specifically area between faeces and blood Ni hapo kwenye Digestive System.


Hao bacteria kama salmonella kupelekea kuharisha kwa binadamu binafsi sijawahi kuona,.. na sio kila kitu mpaka uambiwe au uishie kusoma unaweza uka prove mwenyewe... Watu wanakunywa na hakuna kuharisha wala kuumwa tumbo, na Mimi binafsi ni shahidi wa hilo.
Mimi nina ushahidi wa wanaokunywa maziwa na kuharisha na kuumwa tumbo Kwa bacterial infection

Pia kuna watu ambao ni lactose intolerant maziwa yanawavuruga tumbo hata bacteria wasipokuwepo

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hizo plate tectonics unazosema,, hazifanyi ardhi isionekane tambarare au imetandazwa.

Unasema aloandika kaona Iko flat akaandika, hata kama ingekua unasema kweli , lakini tujiulize,Je zamani walikua hawaoni milima? au miteremko?

The fact ni kwamba sehemu kubwa ya ardhi imetandazwa ipo wazi, hata wewe ni shuhuda wa hilo.

"The Land surface appears to be spread-out to the naked eye". Prove me wrong
Naked eyes hazitoshi ku prove ukweli. NDO MAANA Kwa naked eyes mtu aliona maziwa meupe masafi yanatoka akajua yako pure kumbe Kuna vitu naked eyes hazioni hivyo hivyo kwa land surface.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
split-jcvd.gif
 
To the naked eye ni kweli Iko spread out lakini under critical geographical examination haiko hivyo. Na aliendika alikuwa hajawahi kukutana na vifaa wala kufanya land surveying Kwa hiyo aliangalia tu akasema hivyo, anaweza kusameheka Kwa kuwa aliishi zamani sana ila now na advancement yote hii kwenye land survey useme the land is spread out like a carpet sijui utakuwa ignorant kiasi gani.

Kamwambie land surveyor yoyote hivyo uone kama atakubaliana na wewe

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Sasa kama umekili with a naked-eye unaona kabisa ardhi ipo flattened. Huna haja ya kufanya critical examination with regard to what Qur'an imesema,.. maana Qur'an hasa Imekusudia kile ambacho tunakiona kwa macho ambacho ndiyo uhalisia wenyewe kwamba Earth is flattened Spread out.

Hivi unadhani maisha yangekua the same, kama Ardhi isingekua kwenye flat shape kama ilivyo leo?

Mbona ni kitu rahisi kueleweka,... Au ngoja nikusaidie, hiyo Aya ya Qur'an imelenga kuonyesha how life has been simplified to Us as a result of flattened Spread out-land, so that we can be grateful for it!

Uongo upo wapi hapo?

Katika vitu Bora anavyoweza kufanya mtu mwenye hekima ni kukubaliana na ukweli hata kama unatoka kwa mtu au kitu anachokichukia au kutofautiana mitazamo.
 
Kama hio specific area between feaces and blood ni kwenye digestive system maana ake andiko linasema kwamba maziwa ya n'gombe yanatengenezwa kwenye digestive system yake si ndio?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hapana sio kwenye Digestive System, it's near the digestive system,... Maana mammary glands zipo karibu na Digestive System., Na ndiyo hapo kwenye Digestive System ambapo mtengano kati ya faeces na blood hutokea.

Nadhani imeeleweka.
 
Mimi nina ushahidi wa wanaokunywa maziwa na kuharisha na kuumwa tumbo Kwa bacterial infection

Pia kuna watu ambao ni lactose intolerant maziwa yanawavuruga tumbo hata bacteria wasipokuwepo

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Huo ushahidi wako kwenye uhalisia labda ni 0.00% of the whole population ambao wakinywa Maziwa kutoka kwa Ng'ombe wanaharisha na kuumwa tumbo., Maana Mimi ninavyofahamu kama unaumwa tumbo, ukinywa Maziwa mara nyingi tumbo hutulia.
Watu wachache kuwa lactose intolerant haifanyi Maziwa kuwa sio salama kwa kunywa.

Maziwa yanatumika kama dawa pia,... So they are so beneficial &not the way you want us to believe... Kama unanisoma hapa kuna upande wa practical na theory wewe ume base kwenye theory., Lakini kwenye ground ndiyo uhalisia wa mambo ulipo.

Ahsante.
 
Naked eyes hazitoshi ku prove ukweli. NDO MAANA Kwa naked eyes mtu aliona maziwa meupe masafi yanatoka akajua yako pure kumbe Kuna vitu naked eyes hazioni hivyo hivyo kwa land surface.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Okay ngoja niulize swali... Maziwa (raw milk) ambayo hayajafanyiwa processing yoyote na yale ya viwandani yapi ni salama zaidi kwa kunywa?


Kila kitu kipo sehemu yake sahihi, bacteria unaowaona kwenye Maziwa,. Hawapo kwenye Maziwa kwa bahati mbaya na ndiyo maana Maziwa yakitoka yanakua salama kwa kunywa kwa Ndama wa Ng'ombe au hata binadamu wanakunywa tu bila madhara yoyote.

Huenda unaamini kwamba kila unachoambiwa na the so-called researchers ni ukweli 100%. kumbuka in this world everything is tradable,. People are trying to monetize everything,. Hata kwenye health sector pia ipo hivyo,. so be careful brother.
 
Milima imetajwa na kitabu chenu kuwa ni kama "anchors" zinazoshikilia dunia isitikisike (huu ni uongo sio kazi ya milima),



Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app

Mimi najua unafahamu the role ya mountains in stabilizing the earth'crust,... Kitu pekee kinacho kutia upofu ni Negativity yako juu ya Qur'an, maana unaipinga Qur'an hata kwenye vitu ambavyo sayansi ime prove kwamba vipo hivyo,.

Surah An-Naazi'aat (79:32): "Have We not made the earth as a bed, and the mountains as pegs?"
These verses describe the mountains as being "firm" and "steadfast," and as helping to prevent the earth from shaking. This is consistent with modern scientific understanding of the role of mountains in stabilizing the earth's crust.

Mountains are formed by the movement of tectonic plates, and they play an important role in preventing earthquakes and other natural disasters!


Again nauliza, Uongo upo wapi hapo?!
 
Hapana sio kwenye Digestive System, it's near the digestive system,... Maana mammary glands zipo karibu na Digestive System., Na ndiyo hapo kwenye Digestive System ambapo mtengano kati ya faeces na blood hutokea.

Nadhani imeeleweka.
Kumbuka Allah anatakiwa kuwa mungu, sasa guessing za nini?
 
Maziwa yanatumika kama dawa pia,... So they are so beneficial &not the way you want us to believe... Kama unanisoma hapa kuna upande wa practical na theory wewe ume base kwenye theory., Lakini kwenye ground ndiyo uhalisia wa mambo ulipo.

Ahsante.
Allah kachemka , maziwa lazima uchemshe ndio unywe kuna mpaka brucella kwenye maziwa

Kumbuka Allah na Muhammad walisema mkojo wa ngamia pia ni dawa mnywe , na amepingwa vibaya sana
 
Allah , Kwanini asitaje straight nyie ndio mnamsaidia
Kwani hajataja straight?! Au wewe ndiyo una shida... Yeye ndiyo anajua viumbe wake kuliko hata mwanasayansi yoyote.

So, relax mzee.... na just nikufahamishe tu anachosema Allah ni 100% ukweli ipo hivyo. Hao watafiti leo wanasema hivi kesho wakijua vingine wanabadilisha.

So, kwa akili yako...which is genuine & accurate source to believe in,..?
 
Kwani hajataja straight?! Au wewe ndiyo una shida... Yeye ndiyo anajua viumbe wake kuliko hata mwanasayansi yoyote.

So, relax mzee.... na just nikufahamishe tu anachosema Allah ni 100% ukweli ipo hivyo. Hao watafiti leo wanasema hivi kesho wakijua vingine wanabadilisha.

So, kwa akili yako...which is genuine & accurate source to believe in,..?
Hajataja ameweka bla bla , kumbuka Allah pia kasema nyuki wanakunya asali 😂😂😂
 
Hapana sio kwenye Digestive System, it's near the digestive system,... Maana mammary glands zipo karibu na Digestive System., Na ndiyo hapo kwenye Digestive System ambapo mtengano kati ya faeces na blood hutokea.

Nadhani imeeleweka.
Umesoma andiko kama lilivyo au unalitafsiri unavyotaka. Andiko halijasema location near the digestive system limesema location between feaces and blood, unalibadili la nini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Umesoma andiko kama lilivyo au unalitafsiri unavyotaka. Andiko halijasema location near the digestive system limesema location between feaces and blood, unalibadili la nini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wapi nimelibadili sasa?

Maana hiyo Aya Ina state hivi ⤵️
An-Nahl 16:66
And indeed, for you in grazing livestock is a lesson. We give you drink from what is in their bellies - between excretion and blood - pure milk, palatable to drinkers.
 
Huo ushahidi wako kwenye uhalisia labda ni 0.00% of the whole population ambao wakinywa Maziwa kutoka kwa Ng'ombe wanaharisha na kuumwa tumbo., Maana Mimi ninavyofahamu kama unaumwa tumbo, ukinywa Maziwa mara nyingi tumbo hutulia.
Watu wachache kuwa lactose intolerant haifanyi Maziwa kuwa sio salama kwa kunywa.

Maziwa yanatumika kama dawa pia,... So they are so beneficial &not the way you want us to believe... Kama unanisoma hapa kuna upande wa practical na theory wewe ume base kwenye theory., Lakini kwenye ground ndiyo uhalisia wa mambo ulipo.

Ahsante.
Kubishana na uhalisia Ili ku justify makosa ya kitabu chako cha dini

Haya ni maelezo ya article illyofanya review ya research za magonjwa yanayotoka kwenye maziwa na sababu ukisoma mwishoni moja ya sababu ni lack of awareness for the health risks of consuming unpasteurized milk

The selection process yielded 65 articles describing studies conducted in East Africa 2010–2021, which were carefully scrutinized. The most investigated pathogen was Brucella spp. (54.5%), followed by E. coli (18.2%), Salmonella spp. (12.1%), Mycobacterium spp. (6.1%), and E. coli O157: H7 (6.1%). The most common predisposing factors for potential milk-borne disease outbreaks were consumption of contaminated raw milk, inadequate cold storage along the milk value chain, poor milk handling practices, and lack of awareness of the health risks of consuming unpasteurized milk.

Halafu wewe unasema kwenye uhalisia nachosema ni 0.00% umenishangaza.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Okay ngoja niulize swali... Maziwa (raw milk) ambayo hayajafanyiwa processing yoyote na yale ya viwandani yapi ni salama zaidi kwa kunywa?


Kila kitu kipo sehemu yake sahihi, bacteria unaowaona kwenye Maziwa,. Hawapo kwenye Maziwa kwa bahati mbaya na ndiyo maana Maziwa yakitoka yanakua salama kwa kunywa kwa Ndama wa Ng'ombe au hata binadamu wanakunywa tu bila madhara yoyote.

Huenda unaamini kwamba kila unachoambiwa na the so-called researchers ni ukweli 100%. kumbuka in this world everything is tradable,. People are trying to monetize everything,. Hata kwenye health sector pia ipo hivyo,. so be careful brother.
Vipi research ambazo tunafanya sisi wa Africa wenyewe na tunagundua mzungu alichokisema mwanzo ni kweli lakini sisi tuliita biashara?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom