Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 551
- 895
NAISIKITIKIA AFRIKA YANGU
Sijui nani atakuja kutukomboa
Tumejiharibu na kuharibu vizazi vyetu karne hadi karne kwa kuaminishwa stori za kufikirika tena za mataifa ya mbali ambazo zimejazwa hofu,vitisho,chuki na ahadi kwa wafuasi wake
Ni kwa Waafrika pekee ambapo maisha bora yanapatikana baada ya kufa eti dunian sio lolote sio chochote kwao, jambo ambalo limetufanya kuwa kituko kwa dunia nzima
Watu wanakesha kufanya maisha bora duniani mfn china,marekani,korea nk waafrika tuko bize kutafuta maisha bora baada ya kufa the same bullshit we have inherited to our generations for years
Ukweli ambao watu wanagoma kuukubali ni kuwa Mungu mnaelezewa kwenye vitabu vya dini hayupo zaidi ya fictious stories kama zingine tu, mmejazana hofu,chuki ahadi za uongo na kweli , na limited beliefs systems ambazo zinawazuia kufunguka kwenye ukweli
Jiulize maswali yafuatayo kabla hujaanza kulinda dini unayoitetea.
1.Kwanini taarifa za Mungu uletewe na watu kutoka nje ya bara lako,watu ambao sio wa asili yako? Au kwanini unatakiwa kuambiwa habari za Mungu na sio kwamba ulitakiwa mjue naturally? Kwa jinsi ambavyo Mungu anaelezewa kwenye vitabu vya dini na ukuu wake wote ,nikweli anahitaji mawakala ili mjue?
2.Kwanini Mungu amuumbe shetani ambae badae wanaanza kugombea waumini tena muda mwingine wanashirikiana kabisa ,?
Kwa kifupi shetani ni mtaji wa Mungu wa kwenye vitabu vya dini
3.Kwanini Hutakiwi kutumia akili ya kibinadamu ili kumuelewa ilihali amekuumba na akili hiyo hiyo ili iwe utambuzi kwako? Ogopa sana elimu unayopewa afu unaambiwa hupaswi kuhoji
4.Kwanini waafrika sehemu zao tukufu (holy places) zipo nje ya Afrika mfano macca,roma italy Israel nk unlike china,india,korea nk
5.Kwanini maisha bora yapo baada ya kufa lakini tunayaanda duniani,kwan haya tuyaoshi saizi tuliyaanda wapi?
6.Kwanini elimu pekee tunayoipata kikamilifu kwa lugha zetu ni elimu za dini, hakuna vitabu vya sciences, engineering, economics, hata politics vilivyopo kwa lugha zetu?
Nadhani mnaelewa lengo la kusoma elimu fulani kwa lugha yako
7.kwanini tunatakiwa kuwachukia wale wasio amini kama sisi,kama tuna adui mmoja kwanini tusiungane kumshinda adui,? Kwanini mtaji wa dini ni wapinzani wao?
8.Kwann vitabu vya dini vina mikangaiko mingi sana ambayo haiingii akilini isipokuwa kwa nguvu ya vitisho?
Mwisho.
Ubaya ni ubaya bila kujali kafanya nani as long as kitu fulani huwezi kujifanyia na haupo tajari kufanyiwa kutokana na madhara yake kwako basi usimfanyie mwingine.
Huitaji kutishiwa moto ili kujua hili
Sijui nani atakuja kutukomboa
Tumejiharibu na kuharibu vizazi vyetu karne hadi karne kwa kuaminishwa stori za kufikirika tena za mataifa ya mbali ambazo zimejazwa hofu,vitisho,chuki na ahadi kwa wafuasi wake
Ni kwa Waafrika pekee ambapo maisha bora yanapatikana baada ya kufa eti dunian sio lolote sio chochote kwao, jambo ambalo limetufanya kuwa kituko kwa dunia nzima
Watu wanakesha kufanya maisha bora duniani mfn china,marekani,korea nk waafrika tuko bize kutafuta maisha bora baada ya kufa the same bullshit we have inherited to our generations for years
Ukweli ambao watu wanagoma kuukubali ni kuwa Mungu mnaelezewa kwenye vitabu vya dini hayupo zaidi ya fictious stories kama zingine tu, mmejazana hofu,chuki ahadi za uongo na kweli , na limited beliefs systems ambazo zinawazuia kufunguka kwenye ukweli
Jiulize maswali yafuatayo kabla hujaanza kulinda dini unayoitetea.
1.Kwanini taarifa za Mungu uletewe na watu kutoka nje ya bara lako,watu ambao sio wa asili yako? Au kwanini unatakiwa kuambiwa habari za Mungu na sio kwamba ulitakiwa mjue naturally? Kwa jinsi ambavyo Mungu anaelezewa kwenye vitabu vya dini na ukuu wake wote ,nikweli anahitaji mawakala ili mjue?
2.Kwanini Mungu amuumbe shetani ambae badae wanaanza kugombea waumini tena muda mwingine wanashirikiana kabisa ,?
Kwa kifupi shetani ni mtaji wa Mungu wa kwenye vitabu vya dini
3.Kwanini Hutakiwi kutumia akili ya kibinadamu ili kumuelewa ilihali amekuumba na akili hiyo hiyo ili iwe utambuzi kwako? Ogopa sana elimu unayopewa afu unaambiwa hupaswi kuhoji
4.Kwanini waafrika sehemu zao tukufu (holy places) zipo nje ya Afrika mfano macca,roma italy Israel nk unlike china,india,korea nk
5.Kwanini maisha bora yapo baada ya kufa lakini tunayaanda duniani,kwan haya tuyaoshi saizi tuliyaanda wapi?
6.Kwanini elimu pekee tunayoipata kikamilifu kwa lugha zetu ni elimu za dini, hakuna vitabu vya sciences, engineering, economics, hata politics vilivyopo kwa lugha zetu?
Nadhani mnaelewa lengo la kusoma elimu fulani kwa lugha yako
7.kwanini tunatakiwa kuwachukia wale wasio amini kama sisi,kama tuna adui mmoja kwanini tusiungane kumshinda adui,? Kwanini mtaji wa dini ni wapinzani wao?
8.Kwann vitabu vya dini vina mikangaiko mingi sana ambayo haiingii akilini isipokuwa kwa nguvu ya vitisho?
Mwisho.
Ubaya ni ubaya bila kujali kafanya nani as long as kitu fulani huwezi kujifanyia na haupo tajari kufanyiwa kutokana na madhara yake kwako basi usimfanyie mwingine.
Huitaji kutishiwa moto ili kujua hili