kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Endelea tu kuiheshimu mizimu yako, ndio wanaojua ukweli, wao ni roho na Mungu ni roho, hivyo wanaonana. Ndio watakaokufikisha kwa Mungu wa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tawilee vandugu vane 😂Endelea tu kuiheshimu mizimu yako, ndio wanaojua ukweli, wao ni roho na Mungu ni roho, hivyo wanaonana. Ndio watakaokufikisha kwa Mungu wa kweli.
Upo sahihiNa hiki ndicho waliotuletea hizo dini walichokitaka (UOGA) na wamefanikiwa 100% kwa waafrikaView attachment 2756463
Thread ya 2023 leo ni 2024 I hope ulishakufa kwa dhihaka yakoMimi pia najiulizaga hivi watu wanaosema wana amini Mungu na kudai wameshuhudia miujiza wanakuwaga serious kweli or they just fooling around?
Kufa nitakufa tu hiyo ndio sifa ya kiumbe hai ila sio kwasababu ya kufikirika kama hiyo.Thread ya 2023 leo ni 2024 I hope ulishakufa kwa dhihaka yako
Ni mjinga tu asiyeamini uwepo wa MUNGUHabarini wakuu,
Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?
Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?
Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?
Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.
Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
[emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].
Famous People Who Mocked God
Here are the top 5 influential people who famously mocked god and ended up dead
1. John Lennon (The Beatles)
John Lennon was a British legendary who co-founded the British invasion band called ‘The Beatles‘ in the 1960s. Lennon and co-writer Paul McCartney wrote hundreds of songs together along with George Harrison and Ringo Star, and together they remained at the top of the list for nearly a decade. The ladies were especially head over heels in love with John Lennon.
Some years ago, during his interview with an American Magazine, Lennon had said: “Christianity will end, it will disappear. I do not have to argue about that. I am certain. Jesus was okay, but his subjects were too simple, today we are more famous than Him” (1966).
His remark led to an outrage among his fans and triggered a protest rally, people thought he mocked God, where people expressed their anger by setting their vinyl records and The Beatles’ posters afire. In 1970, The Beatles disbanded.

On the 8th of December 1980, Lennon was shot six times in his head by one of his fanatics in front of his house and died on the spot. Interesting fact, he kind of did predict how he would die. Now, that’s spooky!
2. Marilyn Monroe (Hollywood Celebrity)
She had the perfect life that anyone could ever dream of; a remarkable amount of wealth and great fame, and she was astoundingly beautiful.

One day during filming, she was visited by Billy Graham during a presentation of a show. He said the Spirit of God had sent him to preach to her. After hearing what the Preacher had to say, she said: ‘I don’t need your Jesus’. A week later, she was found dead in her bedroom.
The most accepted theory suggested she was suffering from depression and committed suicide. In fact, it was actually the right time for her to seek God but she mocked God.
3. Thomas Andrews (Titanic Shipbuilder)
[https://icytales]By Everett Collection/ Shutterstock
Thomas Andrews was inspired to build a ship that would be legendary during his time. After the construction of the mighty Titanic, a British luxury liner, a reporter asked him how safe the Titanic would be. With an ironic tone, he said, ”Even God himself couldn’t sink the ship”.
The result: I think you all know what happened to the Titanic.
[https://icytales]Icy Media
4. Tancredo Neves (President of Brazil)
During his Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him from Presidency.
Sure, he got the votes, but the unfortunate fella got sick a day before he was made President and died.
5. Bon Scott (AC/DC Former Vocalist)
[https://icytales]By loudersound.com
Scott in his golden days with AC/DC since 1974 had replaced Dave Evans as the vocalist of the band. On one of his 1979 songs he sang: ‘Don’t stop me; I’m going down all the way, down the highway to hell’.
A year later, Scott was found dead on 19 February 1980; he choked on his own vomit.
Humans can only come up with theories, but God alone knows the true reasons for their death.
Upo sawa mungu hana uwezo wowote ila Mungu uwezo anao na unajulikanaNdani ya vitabu vya Dini utampata mungu mwenye nguvu na uwezo wote.
Lakini nje ya vitabu vya Dini mungu hana uwezo wowote.
Watu wengi kwenye serikali ya CCM wanasema wanamuamini mungu lakini ni mafisadi na wala rushwa na wana sapoti ya hao viongozi wa diniWatu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.
Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka