Kutongoza wake za watu

Mungu atu saidie tuu haya Mambo haya
 
mibususu ni nyingi sana na huu ni urithi wetu..tatizo mbususu hizi ni nyongo nyongo sana hazisemi ukweli na pete zinavua zi aficha...kwa kweli kidume ukikuta mbususu yako ipo na mtu ambaye una uhakika hajui mahusiano yenu achana na kidume deal na mbususu yako vinginevyo kama kidume una uhakika kinajua mahusiano yenu unadeal nao parallell au inaitwa huku na huku huku ukitoa kipaumbele kwa kidume.
 
Waambie hao
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana hapo wameelewa tu , kwamba usicheat na mke asiyejua kusome ila ngoja wakamatwe wanatia huruma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…