Kutongoza wake za watu

Unaulizia kwa kusema ukitaka kutoka na Mke wa mtu soma mazingira kwanza, KWELI?

Nilifikiri unalaani suala la kuzini na wake za watu kumbe unatoa mbinu

HOVYO KWELI WEWE, Tembea na Mke wa mtu yaje kukukuta Maumivu makali na AIBU KUU
 
Ila mpaka sasa jamaa kilema kabisa hivyo kama unataka kutoka na mke wa mtu soma mazingira kwanza
 
Watu wanakuharibu mzee...ni hatari hiyo tabia acha.[emoji23][emoji1] . Ingawa mwanamke mchepukaje sio suala la kupiga, Just damp her.
 
Nimeishi japo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…