Kutoonekana kwa Makamu wa Rais

Kutoonekana kwa Makamu wa Rais

Jile79

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
17,668
Reaction score
13,263
Wakati taifa likiendelea kupambana na gonjwa hili hatari la Corona.

Ni takribani zaidi ya mwezi mmoja sasa sijapata kumuona wala kumsikia Mama Yetu Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Namuona Waziri Mkuu na Waziri wa Afya tu.

Nilitegemea wkati Rais yuko mapumzikoni mpaka sasa Basi angalau yeye akiwa kama mfariji namba 2 wa taifa angekua anatueleza ama kusema lolote kuonesha kwamba tuko pamoja lakini imekua kinyume.

Ukimya wake unanipa maswali mengi.

Labda mimi sijui protokali za nchi.
 
Kuna voice yake nimeiona kwenye ma group ya whatsapp anatusisitiza tule malimao na maji ya uvuguvugu + chumvi
Ningependa kuipata na mimi lakini voice clip tu inatosha kwa yeye kama mfariji namba mbili wa taifa?
 
Corona inadhibitiwa na ofisi ya Waziri Mkuu

Bado haijafikia level ya Makamu wa Rais au Rais kuongea kila siku

Huo Ndio mgawanyo wa madaraka

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti anasupot kuona Rais amekimbia kwenda Kijijini, halioni hata hapa jirani kwao Rwanda, Uganda, Kenya kuwa wanaohangaika kila kukicha ni viongozi wa nchi ngazi ya mwisho Rais, makamu, na wazir wa Afya hata Kama hauoni kule Ulaya hata huku kwa Rafiki zake nako hauoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzake kakimbia halafu yeye ahangaike kivipi? Si anajiuliza kuwa Kwa nini kiongozi wa nchi amekimbia? Ujue kukitokea janga lolote katika nchi rais hata Kama yuko kwenye mikutano nje ya nchi huwa anaacha mikutano na kurud Mara moja Kwa nia ya kupambana na janga kuongoza mapambano

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa hivi inakua haijakaa vizuri
 
Kwani na wewe unalipa kodi mkuu...

Uchungu wa mwana aujuaye mzazi huwezi kujua uchungu wa Kodi kama hulipi
 
Mwenzake kakimbia halafu yeye ahangaike kivipi? Si anajiuliza kuwa Kwa nini kiongozi wa nchi amekimbia? Ujue kukitokea janga lolote katika nchi rais hata Kama yuko kwenye mikutano nje ya nchi huwa anaacha mikutano na kurud Mara moja Kwa nia ya kupambana na janga kuongoza mapambano

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si anaongoza mapambano kutokea mapangoni kule Buswelu ama umesahau mzee na kwanini una muandama sana askari nambo moja wetu asee[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom