OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
hapa umemlinganisha na nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa umemlinganisha na nani
Nchi ikiwa vitani majemedari wanaongoza nchi wakiwa wamejichimbia sehemu tofautiUkimya wake unanipa maswali mengi.....
Labda mimi sijui protokali za nchi.
Mimi natumiaga freebase kuingia JF ningekuwa natumia app ningekutumia mkuu ili waliopo nayo wengine nadhani watakutumia
Wewe ni mjinga, usipelekwe na hisia zako za kipuuzi kwani chato ni nje ya nchi au kwa akili yako inajua tanzania ni dar ea salaam tu.Jile79, Mwenzake kakimbia halafu yeye ahangaike kivipi? Si anajiuliza kuwa kwa nini kiongozi wa nchi amekimbia? Ujue kukitokea janga lolote katika nchi Rais hata kama yuko kwenye mikutano nje ya nchi huwa anaacha mikutano na kurudi Mara moja kwa nia ya kupambana na janga kuongoza mapambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka nipewe kesi ya uhujumu uchumi ?hapa umemlinganisha na nani
Ongeza sauti mkuu usikike zaidiii.....💨💨Wewe ni mjinga, usipelekwe na hisia zako za kipuuzi kwani chato ni nje ya nchi au kwa akili yako inajua tanzania ni dar ea salaam tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa waziri mkuuCorona inadhibitiwa na ofisi ya Waziri Mkuu
Bado haijafikia level ya Makamu wa Rais au Rais kuongea kila siku
Huo Ndio mgawanyo wa madaraka
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ww acha tu.kuna watu wanapika mambo mpaka yanageuka inakuwa kesi eti.Hahaaa.......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Hapo utakua umehujumu nn sasa
Duuu...... Wanamiliki jelamkuu ww acha tu.kuna watu wanapika mambo mpaka yanageuka inakuwa kesi eti.
mi nishazoea kula zangu bata uraiani sitaki tabu na wanaomiliki jela
Sent using Jamii Forums mobile app
We unataka nini tena ushaambiwa yupo hadi anatoa wito kwa raia?Ningependa kuipata na mimi... lakini voice clip tu inatosha kwa yeye kama mfariji namba mbili wa taifa?