Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
- Thread starter
- #21
Binafsi naona hii sio poa kabisa...Tulipigwa 2015 mkuu haya ndo matokeo yake wote wawili wamejidicha
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi naona hii sio poa kabisa...Tulipigwa 2015 mkuu haya ndo matokeo yake wote wawili wamejidicha
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ajabu nae labda ana survive huko aliko labda hamjui tu.Mwenzake kakimbia halafu yeye ahangaike kivipi? Si anajiuliza kuwa Kwa nini kiongozi wa nchi amekimbia? Ujue kukitokea janga lolote katika nchi rais hata Kama yuko kwenye mikutano nje ya nchi huwa anaacha mikutano na kurud Mara moja Kwa nia ya kupambana na janga kuongoza mapambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!! Kazi kweli kweliKuna voice yake nimeiona kwenye ma group ya whatsapp anatusisitiza tule malimao na maji ya uvuguvugu + chumvi
Sio lazima kufoka kumbuka yy ni mfaraji na2 wa taifa huku tukishuhudia Mkuu wa nchi yupo mapumziko na tupo kwenye janga kubwa sn la kiduniaNi rahisi sana, hakuna mikutano na mikusanyiko, hakuna press conference, hakuna matamasha, unataka umuone wapi akifoka?
Wakifanya mchezo wanaondoka, ndio maana wanajificha kila mmoja kwa mbinu zake! Unaleta mchezo na highly fatal infectious microbes unaondoka!Wakati taifa likiendelea kupambana na gonjwa hili hatari la Corona.
Ni takribani zaidi ya mwezi mmoja sasa sijapata kumuona wala kumsikia Mama Yetu Makamu wa Rais Mama Samia Suluh Hassan.
Namuona Waziri Mkuu na Waziri wa Afya tu.
Nilitegemea wkati Rais yuko mapumzikoni mpaka sasa Basi angalau yeye akiwa kama mfariji namba 2 wa taifa angekua anatueleza ama kusema lolote kuonesha kwamba tuko pamoja lakini imekua kinyume.
Ukimya wake unanipa maswali mengi.....
Labda mimi sijui protokali za nchi.