Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Mbona juzi tu kule bungeni spika wa wanaCCM walikuwa wanamfokea Zitto kwamba anasababisha mkose misaada. Kwa nini mnalilia misaada toka kwa Mabwenyenye?
Wewe huoni bungeni na seikalini wanavyofoka kwa Zitto kuwazibia riziki kwa mabeberu?Huoni wanasiasa wa upinzani wanapishana angani kwenda kuitukana Nchi yetu kwa Mabeberu?
Haiwezekani watu wanazurura duniani kuichafua Nchi yetu. Wamesoma kwa kodi za Watanzania
Wanaheshimika huko nje kwa siha njema ya Nchi yetu. Wakifika kule wanaanza kuitukana Nchi yetu
Hii Nchi yetu ipo kwa sababu kuna watu walijitolea maisha yao yote kuijenga hii Nchi
Kuna watu walimwaga damu.
Kuna watu walienda Uganda kuipigania Nchi wakarudi wamekatika miguu, wengine walirudi hawana mikono, wengine walirudi ni maiti.
Nchi hii ilikombolewa toka tukiwa tumboni mwa mama zetu
Anatokea mtu mmoja mropokaji, msaliti pengine hana hata dna na Tanzania yetu anaenda kwa Mabeberu kutukana Nchi yetu
Wanamtukana Rais wetu mpendwa Magufuli, Wanatukana Maendeleo anayotuletea
Wengine ni Wabunge wanaenda amerika kukutana na Mabeberu ati kuisema vibaya nchi yetu
Serkali watu kama hawa Kwanini mnawaacha huru? Kwanini wasihukumiwe kwa kusaliti wazee wetu waliopigania hii Nchi
Dawa ya usaliti hata huko kwa mabeberu inajulikana
Hao marikani haijawahi kucheka na msaliti wa Nchi adhabu yake inajulikana
China haijawahi kucheka na msaliti nenda popote msaliti wa Nchi zawadi yake inajulikana
Serkali acheni kuwachekea Wasaliti wa Nchi watatuharibia taifa letu
Kama kina kambona wenye heshima zao waliondolewa Uraia kwa manufaa ya Nchi Yetu mnaogopa nini kuwapokonya hawa wasio kuwa hata na historia ya ukombozi wa Nchi yetu!
Tumechoka kila siku Nchi yetu kutukanwa na wanasiasa wasaliti
Hatutaki tuwe kama Congo drc aliwachekea Wapinzani mwisho wake Wapinzani wakaiharibu Congo sasa ni machafuko kila siku huko Congo
Ni bora watu wawili au watatu waumie ili Watanzania milion 50 wawe salama
Tanzania tuna chama cha kizalendo kimoja tu ambacho ni Ccm na Tanu Hivi vyama vingine vimeletwa na Mabeberu kuja kuharibu Amani ya Nchi yetu
Naomba serkali ifutie uraia na kufunga wasaliti wa Nchi yote
Uingereza juzi imefutia uraia watu wengi kutokana na kusaliti Nchi yao
Serkali Kwanini inawaogopa hawa?
Hapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
Tofautisha NCHI na UTAWALA ULIOPO MADARAKANI.
Kwahiyo kukiwa hakuna demokrasia hawataweza kwenda?Huoni wanasiasa wa upinzani wanapishana angani kwenda kuitukana Nchi yetu kwa Mabeberu?
Kwahiyo kukiwa hakuna demokrasia hawataweza kwenda?
Niwaulize nini?Hilo swala waulize vibaraka wa mabeberu na wasaliti wa nchi
Kwann msizijibu hoja zao na sio kuwafunga au kuwauwa huoni kama mnatoa majibu ya kuaminisha hoja zao kwamba ni kweli wanatuuwa na kweli wanatufunga,tofautisha serikali Na nchi hakuna aliyeisema vibaya nchi.Hicho chama cha uzalendo ndicho kimewafanya wakazungumze nje.Kama wameenda kuchafua mpande drimulaina mkasafishe shida nini hoja ujibiwa kwa hoja na sio risasi,kubambikwa kesi,nkHaiwezekani watu wanazurura duniani kuichafua Nchi yetu. Wamesoma kwa kodi za Watanzania
Wanaheshimika huko nje kwa siha njema ya Nchi yetu. Wakifika kule wanaanza kuitukana Nchi yetu
Hii Nchi yetu ipo kwa sababu kuna watu walijitolea maisha yao yote kuijenga hii Nchi
Kuna watu walimwaga damu.
Kuna watu walienda Uganda kuipigania Nchi wakarudi wamekatika miguu, wengine walirudi hawana mikono, wengine walirudi ni maiti.
Nchi hii ilikombolewa toka tukiwa tumboni mwa mama zetu
Anatokea mtu mmoja mropokaji, msaliti pengine hana hata dna na Tanzania yetu anaenda kwa Mabeberu kutukana Nchi yetu
Wanamtukana Rais wetu mpendwa Magufuli, Wanatukana Maendeleo anayotuletea
Wengine ni Wabunge wanaenda amerika kukutana na Mabeberu ati kuisema vibaya nchi yetu
Serkali watu kama hawa Kwanini mnawaacha huru? Kwanini wasihukumiwe kwa kusaliti wazee wetu waliopigania hii Nchi
Dawa ya usaliti hata huko kwa mabeberu inajulikana
Hao marikani haijawahi kucheka na msaliti wa Nchi adhabu yake inajulikana
China haijawahi kucheka na msaliti nenda popote msaliti wa Nchi zawadi yake inajulikana
Serkali acheni kuwachekea Wasaliti wa Nchi watatuharibia taifa letu
Kama kina kambona wenye heshima zao waliondolewa Uraia kwa manufaa ya Nchi Yetu mnaogopa nini kuwapokonya hawa wasio kuwa hata na historia ya ukombozi wa Nchi yetu!
Tumechoka kila siku Nchi yetu kutukanwa na wanasiasa wasaliti
Hatutaki tuwe kama Congo drc aliwachekea Wapinzani mwisho wake Wapinzani wakaiharibu Congo sasa ni machafuko kila siku huko Congo
Ni bora watu wawili au watatu waumie ili Watanzania milion 50 wawe salama
Tanzania tuna chama cha kizalendo kimoja tu ambacho ni Ccm na Tanu Hivi vyama vingine vimeletwa na Mabeberu kuja kuharibu Amani ya Nchi yetu
Naomba serkali ifutie uraia na kufunga wasaliti wa Nchi yote
Uingereza juzi imefutia uraia watu wengi kutokana na kusaliti Nchi yao
Serkali Kwanini inawaogopa hawa?
Inasalitiwa kivipi sasa nini maana ya kusaliti.Wapenzi ndio usalitianaHilo swala waulize vibaraka wa mabeberu na wasaliti wa nchi
Mabeberu ni naniHilo swala waulize vibaraka wa mabeberu na wasaliti wa nchi
Hizo ni nyimbo za wasio na hojaHilo swala waulize vibaraka wa mabeberu na wasaliti wa nchi
Inasalitiwa kivipi sasa nini maana ya kusaliti.Wapenzi ndio usalitiana
Wafadhili wahisani wadau wa maendeleo yetu yaani wale wanaotujengea vyooHuko kwa Mabwenyenye mnapoenda kuwalamba viatu
Hovyo sana Wapinzani
Hahahahahahaaa,jamaa limechanganyikiwa leo,liko linajijibu lenyewe likijua ni ID nyingine!Hapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
Serikali huja upita MTU asiye mature na smart ndo uumizwa na kelele za mlangoHao unaoawashabikia ndio wasaliti wa nchi sijui Kwanini serikali imewaacha wabaki huru na magereza yapo
Unaweza kuweka tusi moja ambalo nchi imetukanwa?Hapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
Sisi dona country kwann tulilie misaada kumbe mabeberu ni oxygenKuihujumu nchi kwa nyanja za kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo na kijamii
Kuna wengine walisafiri hadi Marikani kuomba benki ya dunia inyime pesa Tanzania