Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,317
- 1,320
Jiwe lako lisilojitambua ndio linaharibu nchi linapiga watu na kuwaua halafu linataka wasilie,wasiseme huyo ndio msaliti wa nchi namba moja na tutamuwajibisha tu. Mwambie babaako jiwe hawezi kuwanyamazisha watu amewazuia kusema ndani ya nchi watasema wakiwa nje na kuikosoa au kuichafua serikali si kosa na serikali sio nchi magufuli na serikali yake sio tanzania endelea kubwabwaja wewe debe tupu.