Kutoweka uzalendo kwa nchi: CCM haiwezi kuepuka lawama

Kutoweka uzalendo kwa nchi: CCM haiwezi kuepuka lawama

Yeye mwenyewe ndie msaliti namba moja!
Rais wetu mpendwa Magufuli usicheke na wasaliti wa nchi, simama imara kama walivyosimama imara wazee wetu

Hii Nchi yetu ni muhimu kiliko mtu mmoja anaetukana Nchi yetu

Tumekukabidhi Nchi ili iwe salama

Angalia venuzuela ilivyofikia ni Kwasababu waliruhusu sana demokrasia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti ya Nchi na Serikali usichanganye mambo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nadhani Sasa umefika wakati wa kuchambua mbichi na zilizoingia.watu hao Sasa hivi wamejaa maofisini,kwenye siasa nk.serikali ianze kuscreen na kuwajua hasa Nani raia wa nchi hii.wengi ni wazamiaji na Wana dhamana kubwa serikalini hivyo nashauri vipimo vya Dna vitumike kuwabaini raia wa nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe inaonekana huelewi unachosema, ifutie uraia wananchi halali wa Tanzania ili waende nchi gani? Ndiyo maana naona una shida kubwa kwenye ufikiri wako. Wakati mwingine kuna haja ya kuwa na ufikiri ulio sahihi....acheni ushabiki wa ajabu
 
Back
Top Bottom