Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unajireply Mwenyewe?? Ww sio mzm kabisaHapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
marikani ndiyo nini .........!!?
Hao wanasiasa kina nani? Na wameisaliti nchi kivipiHapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
Kumbe unamaanisha wapinzani Wa ccm.yaani upinzani kwa ccm unatosha kuwa usaliti kwa nchi?Huko kwa Mabwenyenye mnapoenda kuwalamba viatu
Hovyo sana Wapinzani
Hao wanasiasa kina nani? Na wameisaliti nchi kivipi
Hao mabeberu unaosema wako wapi? Ni hao wanaochangia kwenye bajeti yetu?Ni Aibu Mtanzania amesomeshwa kwa kodi zetu anaenda kwa Mabeberu kutukana Nchi yake
Hatutakubali
Umechanganyikiwa au kuna kitu kimekuvuruga akili yako?? Kwanini unawaza mauaji?? Au ulishamwaga damu isiyo na hatia sasa inakusumbua??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaowashabikia wepi Mkuu, kuwa specific.binafsi nitamshabikia yeyote mpenda haki kwa taifa letu.Hao unaoawashabikia ndio wasaliti wa nchi sijui Kwanini serkali imeaacha wabaki huru na magereza yapo
Ninaowashabikia wepi Mkuu, kuwa specific.binafsi nitamshabikia yeyote mpenda haki kwa taifa letu.
Rais wetu mpendwa Magufuli usicheke na wasaliti wa nchi, simama imara kama walivyosimama imara wazee wetu
Hii Nchi yetu ni muhimu kiliko mtu mmoja anaetukana Nchi yetu
Tumekukabidhi Nchi ili iwe salama
Angalia venuzuela ilivyofikia ni Kwasababu waliruhusu sana demokrasia
Hahaha hili jamaa chizi linaangea na kujijibu lenyeweHapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi
Mkuu, nadhani ulitaka kulog in kwa user nyingine ili ujicomentie comment hii,lakini kwa bahati mbaya umejikuta ukicomment kwa user hii hii. Nimecheka sana.Hapo ukweli mtupu umeongea Serkali iache kucheka na wanasiasa wasaliti wa nchi