Kutoweka uzalendo kwa nchi: CCM haiwezi kuepuka lawama

Kutoweka uzalendo kwa nchi: CCM haiwezi kuepuka lawama

Kuna Nchi isiyokopa Duniani kote!
Mbona juzi tu kule bungeni spika wa wanaCCM walikuwa wanamfokea Zitto kwamba anasababisha mkose misaada. Kwa nini mnalilia misaada toka kwa Mabwenyenye?
 
Wewe ni msaliti
Haiwezekani watu wanazurura duniani kuichafua Nchi yetu. Wamesoma kwa kodi za Watanzania
Wanaheshimika huko nje kwa siha njema ya Nchi yetu. Wakifika kule wanaanza kuitukana Nchi yetu

Hii Nchi yetu ipo kwa sababu kuna watu walijitolea maisha yao yote kuijenga hii Nchi
Kuna watu walimwaga damu.

Kuna watu walienda Uganda kuipigania Nchi wakarudi wamekatika miguu, wengine walirudi hawana mikono, wengine walirudi ni maiti.

Nchi hii ilikombolewa toka tukiwa tumboni mwa mama zetu

Anatokea mtu mmoja mropokaji, msaliti pengine hana hata dna na Tanzania yetu anaenda kwa Mabeberu kutukana Nchi yetu

Wanamtukana Rais wetu mpendwa Magufuli, Wanatukana Maendeleo anayotuletea
Wengine ni Wabunge wanaenda amerika kukutana na Mabeberu ati kuisema vibaya nchi yetu

Serkali watu kama hawa Kwanini mnawaacha huru? Kwanini wasihukumiwe kwa kusaliti wazee wetu waliopigania hii Nchi

Dawa ya usaliti hata huko kwa mabeberu inajulikana
Hao marikani haijawahi kucheka na msaliti wa Nchi adhabu yake inajulikana

China haijawahi kucheka na msaliti nenda popote msaliti wa Nchi zawadi yake inajulikana

Serkali acheni kuwachekea Wasaliti wa Nchi watatuharibia taifa letu

Kama kina kambona wenye heshima zao waliondolewa Uraia kwa manufaa ya Nchi Yetu mnaogopa nini kuwapokonya hawa wasio kuwa hata na historia ya ukombozi wa Nchi yetu!

Tumechoka kila siku Nchi yetu kutukanwa na wanasiasa wasaliti

Hatutaki tuwe kama Congo drc aliwachekea Wapinzani mwisho wake Wapinzani wakaiharibu Congo sasa ni machafuko kila siku huko Congo

Ni bora watu wawili au watatu waumie ili Watanzania milion 50 wawe salama

Tanzania tuna chama cha kizalendo kimoja tu ambacho ni Ccm na Tanu Hivi vyama vingine vimeletwa na Mabeberu kuja kuharibu Amani ya Nchi yetu

Naomba serkali ifutie uraia na kufunga wasaliti wa Nchi yote
Uingereza juzi imefutia uraia watu wengi kutokana na kusaliti Nchi yao

Serkali Kwanini inawaogopa hawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM na wanaCCM kichwani sifuri kabisa. Jukwaani mnawaita mabeberu. Mkishuka tu jukwaani mnakwenda kuwalamba miguu hao hao mabeberu wabusti bajeti yenu. Na akitokea mtu yeyote kuongea na hao mnaowaita mabeberu mnahamaki eti anawakosanisha na mabeberu, ni msaliti, auawe, n.k. Kwani ninyi mnaogopa kukosana na mabeberu? Kwa nini mnapenda mabeberu wawasaidie bajeti? Si muachane kabisa na hao mabeberu?

CCM ni Corona ya Tanzania
 
Haiwezekani watu wanazurura duniani kuichafua Nchi yetu. Wamesoma kwa kodi za Watanzania
Wanaheshimika huko nje kwa siha njema ya Nchi yetu. Wakifika kule wanaanza kuitukana Nchi yetu

Hii Nchi yetu ipo kwa sababu kuna watu walijitolea maisha yao yote kuijenga hii Nchi
Kuna watu walimwaga damu.

Kuna watu walienda Uganda kuipigania Nchi wakarudi wamekatika miguu, wengine walirudi hawana mikono, wengine walirudi ni maiti.

Nchi hii ilikombolewa toka tukiwa tumboni mwa mama zetu

Anatokea mtu mmoja mropokaji, msaliti pengine hana hata dna na Tanzania yetu anaenda kwa Mabeberu kutukana Nchi yetu

Wanamtukana Rais wetu mpendwa Magufuli, Wanatukana Maendeleo anayotuletea
Wengine ni Wabunge wanaenda amerika kukutana na Mabeberu ati kuisema vibaya nchi yetu

Serkali watu kama hawa Kwanini mnawaacha huru? Kwanini wasihukumiwe kwa kusaliti wazee wetu waliopigania hii Nchi

Dawa ya usaliti hata huko kwa mabeberu inajulikana
Hao marikani haijawahi kucheka na msaliti wa Nchi adhabu yake inajulikana

China haijawahi kucheka na msaliti nenda popote msaliti wa Nchi zawadi yake inajulikana

Serkali acheni kuwachekea Wasaliti wa Nchi watatuharibia taifa letu

Kama kina kambona wenye heshima zao waliondolewa Uraia kwa manufaa ya Nchi Yetu mnaogopa nini kuwapokonya hawa wasio kuwa hata na historia ya ukombozi wa Nchi yetu!

Tumechoka kila siku Nchi yetu kutukanwa na wanasiasa wasaliti

Hatutaki tuwe kama Congo drc aliwachekea Wapinzani mwisho wake Wapinzani wakaiharibu Congo sasa ni machafuko kila siku huko Congo

Ni bora watu wawili au watatu waumie ili Watanzania milion 50 wawe salama

Tanzania tuna chama cha kizalendo kimoja tu ambacho ni Ccm na Tanu Hivi vyama vingine vimeletwa na Mabeberu kuja kuharibu Amani ya Nchi yetu

Naomba serkali ifutie uraia na kufunga wasaliti wa Nchi yote
Uingereza juzi imefutia uraia watu wengi kutokana na kusaliti Nchi yao

Serkali Kwanini inawaogopa hawa?
Kwann msizijibu hoja zao na sio kuwafunga au kuwauwa huoni kama mnatoa majibu ya kuaminisha hoja zao kwamba ni kweli wanatuuwa na kweli wanatufunga,tofautisha serikali Na nchi hakuna aliyeisema vibaya nchi.Hicho chama cha uzalendo ndicho kimewafanya wakazungumze nje.Kama wameenda kuchafua mpande drimulaina mkasafishe shida nini hoja ujibiwa kwa hoja na sio risasi,kubambikwa kesi,nk
 
Kuihujumu nchi kwa nyanja za kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo na kijamii

Kuna wengine walisafiri hadi Marikani kuomba benki ya dunia inyime pesa Tanzania
Sisi dona country kwann tulilie misaada kumbe mabeberu ni oxygen
 
Back
Top Bottom