Uchaguzi 2020 Kutulazimisha wabunge tusiowachagua: Magufuli haogopi 'karma'?

Uchaguzi 2020 Kutulazimisha wabunge tusiowachagua: Magufuli haogopi 'karma'?

Tume mteuzi ni huyo anayejiita KICHAA. Angekuwa ana mapenzi ya kweli na Tanzania na Watanzania basi angemsikiliza Mkapa na kuhakikisha uchaguzi huu unasimamiwa na Tume huru lakini hakufanya hivyo ili kufanya uhuni wake.

Kama haki hakuna tuilaumu NEC na sio JPM??
 
Mkuu nakubaliana na wewe, watawala waelewe kuwa wanasababisha watu wapoteze imani na mfumo tulionao wa kupata viongozi, unapowadharau watu kiasi hiki unawalazimisha watafute utaratibu mwingine wa kupata viongozi wanaowataka, kilicho kibaya zaidi matendo ya watawala yanahatarisha sio tu amani ya nchi bali pia mustakabali wa umoja na ustawi wa vizazi vijavyo na kama hatua stahiki hazitachukuliwa sasa hivi, itakuja kutulazimu kutumia muda na rasilimali nyingine kurekebisha makosa

Ni ku test uvumilivu wa watu
 
Kabisa mkuu, hata ambao wanadhani wananufaika na kinachoendelea watambue kuwa na wao hawatakuwa salama siku mambo yakiharibika, wakati marehemu mugabe anafanya makosa wapo waliokuwa wanamtetea na kumuunga mkono, leo hii wazimbabwe wote wanateseka bila kujali itikadi zao
 
Sio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.

Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.

Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.

Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..

Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Hivi hiyo "Karma" inaweza ikawa ndiyo inamuandama Paul Makonda?
 
Sio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.

Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.

Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.

Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..

Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Amekufwa, kufwa, kufwa kabisaaaa, adhabu kali ikawe just yake
 
Shetani na karma ni mapacha. Cha kushangaza ni kwa nini viongozi wetu wa kiimani wanaamua kuw upande huo. Hivi hawaoni hii dhuluma?
Hamna wasaliti na wanafiki kama viongozi wa dini.
Alex Gehaz Malasusa, I hate you, chawa mkubwa wa magumashi, ulitaka KKKT Dayosisi ya Mashiriki na Pwani uigeuze kuwa tawi la CCM
 
Back
Top Bottom