BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Tume mteuzi ni huyo anayejiita KICHAA. Angekuwa ana mapenzi ya kweli na Tanzania na Watanzania basi angemsikiliza Mkapa na kuhakikisha uchaguzi huu unasimamiwa na Tume huru lakini hakufanya hivyo ili kufanya uhuni wake.
Kama haki hakuna tuilaumu NEC na sio JPM??