Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Asante sana kwa kuni tag, nipo, nimekuja.Pascal Mayalla pita huku
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa kuni tag, nipo, nimekuja.Pascal Mayalla pita huku
Sio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.
Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.
Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Mkuu The Boss, kwanza naamini JPM, hakuwahi kuijua karma, and its very unfortunately, it's true ni karma umekula kichwa!.haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Kuna vitu vichache sana, unakubaliana, one of them ni karma, haina mswalie Mtume!. Imekula kichwa!.Karma is REAL and always a BITCH.
True, naunga mkono hoja kuhusu karma.Kuielewa karma inahitaji kukua na sio kimwili ni kukua ki ufahamu na hapo ndo shida ilipo, maana kwenye Karma ndo kuna kanuni na sheria mama za maumbile hazijawahi athirika na muda wala ukuu wowote toka mwanzo, ni ku zi tii tu kadri ya uwezo wetu hakuna wa kukaa juu yake na wala hakuna siri isio ‘uchi’ kwenye Karma, na hauwezi ondoka ktk uso wa ardhi bila kusimama mbele yake‘be humble always’
KheeeHadi wewe umeandika haya??!!
Kweli kuna jambo litatokea mwaka huu!!! Hadi wana CCM mnahoji hili suala??? Kweli ukombozi umekaribia!
Umeona eeh?.Karma is a bitch,,
Labda mkulu haogopi,, acha tujipe muda tuone
Bado unaamini hakuna karma?.Hakuna karma
Karma is real b!t<h.kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Bado unaamini hakuna karma?.
P
Naunga mkono, The Boss ni habari nyingine!.Huyu jamaa The Boss sijawahi kuona amekuwa biased katika maswala ya siasa kwa namna yoyote,ni mmojawapo ya vichwa vinavyofikiri vizuri.
Yes, it is, and PCM, has been spared because he realized and reversed it, ndio salama yake, vinginevyo ingeisha kula kichwa!.Hivi hiyo "Karma" inaweza ikawa ndiyo inamuandama Paul Makonda?
Paskali nakumbuka mada yako ya KARMA.
Hadi wewe umeandika haya??!!
Kweli kuna jambo litatokea mwaka huu!!! Hadi wana CCM mnahoji hili suala??? Kweli ukombozi umekaribia!
Haya maneno yatatisha wengi, Jambo likishinda watu wamwachie munguSio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.
Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.
Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
PThe Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Wanabodi, Sio mara moja au mbili, umewahi kusikia mtu akitendewa jambo baya, anasema "namwachia Mungu!", au neno "Malipo ni hapa hapa duniani!". likitokea jambo zuri lolote watu hufurahi na kumshukuru Mungu, au likitokea jambo baya lolote, watu hufarijiana kuwa kusema hiyo ni "kazi ya Mungu!'...www.jamiiforums.com
Karma imemchukuwaaa uliona mbal Sana mkuuu mungu ametuepushia fezuli Kam huyu alfu wanaongea nch hii bila jpm hakunaSio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.
Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.
Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Wewe jamaa Ni mtoto wa mjini sana,ha ha ha haaMkuu The Boss, kwanza naamini JPM, hakuwahi kuijua karma, and its very unfortunately, it's true ni karma umekula kichwa!.