Kama haki hakuna tuilaumu NEC na sio JPM??
Mkuu nakubaliana na wewe, watawala waelewe kuwa wanasababisha watu wapoteze imani na mfumo tulionao wa kupata viongozi, unapowadharau watu kiasi hiki unawalazimisha watafute utaratibu mwingine wa kupata viongozi wanaowataka, kilicho kibaya zaidi matendo ya watawala yanahatarisha sio tu amani ya nchi bali pia mustakabali wa umoja na ustawi wa vizazi vijavyo na kama hatua stahiki hazitachukuliwa sasa hivi, itakuja kutulazimu kutumia muda na rasilimali nyingine kurekebisha makosa
Huyu jamaa The Boss sijawahi kuona amekuwa biased katika maswala ya siasa kwa namna yoyote,ni mmojawapo ya vichwa vinavyofikiri vizuri.Hadi wewe umeandika haya??!!
Kweli kuna jambo litatokea mwaka huu!!! Hadi wana CCM mnahoji hili suala??? Kweli ukombozi umekaribia!
Hivi hiyo "Karma" inaweza ikawa ndiyo inamuandama Paul Makonda?Sio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.
Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.
Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
TUKUTANE OCTOBER 28,ACHENI LONGOLONGO [emoji116]View attachment 1552614View attachment 1552616
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Muulize Makonda.
Shetani na karma ni mapacha. Cha kushangaza ni kwa nini viongozi wetu wa kiimani wanaamua kuw upande huo. Hivi hawaoni hii dhuluma?
Viongozi vipofuShetani na karma ni mapacha. Cha kushangaza ni kwa nini viongozi wetu wa kiimani wanaamua kuw upande huo. Hivi hawaoni hii dhuluma?
Ni ku test uvumilivu wa watu
Hebu funguka unataka kusema Nini?Duuh!
Amekufwa, kufwa, kufwa kabisaaaa, adhabu kali ikawe just yakeSio kila mtanzania ni CCM. Watanzania wasio na vyama bi wengi kuliko Wana CCM au wenye vyama vingine.
Kutulazimisha wote kumpitisha mbunge ambae hatujampigia kura sababu Tu ya kumuondoa mpinzani wake Kwa hila ni kutudharau na kutotuheshimu sisi ambao sio wananchama wa wa vyama.
Kutunyima haki ya kuchagua tunao wataka na kutubambikia wabunge ambao sio tuliowataka wala kuwachagua haki ya mtu haiendi bure mbinu zote za hila zinazofanywa bado mwisho kabisa kuna 'karma' karma haiangalii nafasi ya mtu ..kila dhuluma huwa inajibu ni suala la mda tu.
Magufuli kama Rais kazi yake ya kwanza ni kusimamia haki Kwa Taifa kugeuka na kusimamia dhuluma badala ya haki moja Kwa moja ni kutaka 'karma' ifanye kazi..
Je, yeye Magufuli haogopi karma?
Hamna wasaliti na wanafiki kama viongozi wa dini.Shetani na karma ni mapacha. Cha kushangaza ni kwa nini viongozi wetu wa kiimani wanaamua kuw upande huo. Hivi hawaoni hii dhuluma?