Uchaguzi 2020 Kutulazimisha wabunge tusiowachagua: Magufuli haogopi 'karma'?

Karma is REAL and always a BITCH.
 
Mkuu The Boss, kwanza naamini JPM, hakuwahi kuijua karma, and its very unfortunately, it's true ni karma umekula kichwa!.

P
 
True, naunga mkono hoja kuhusu karma.
P
 
Hivi hiyo "Karma" inaweza ikawa ndiyo inamuandama Paul Makonda?
Yes, it is, and PCM, has been spared because he realized and reversed it, ndio salama yake, vinginevyo ingeisha kula kichwa!.

For the sake ya kujielimisha kuhusu karma, tembelea mitaa hii...

P
 
Hadi wewe umeandika haya??!!

Kweli kuna jambo litatokea mwaka huu!!! Hadi wana CCM mnahoji hili suala??? Kweli ukombozi umekaribia!
Haya maneno yatatisha wengi, Jambo likishinda watu wamwachie mungu
 

Hii mada niliielewa sana na kweli karma ina exist.
 
Karma imemchukuwaaa uliona mbal Sana mkuuu mungu ametuepushia fezuli Kam huyu alfu wanaongea nch hii bila jpm hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…