Uchaguzi 2020 Kutulazimisha wabunge tusiowachagua: Magufuli haogopi 'karma'?

Aisee
 
Karma is a bitch The Boss uliona mbali, yeye ushindi wa 84% wa kihistoria hata miezi 5 hakumaliza
 
Karma imeshatenda yake.
Bado hao walioingia kwa dhulma,umauti utawanyofoa mmoja baada ya mwingine.
 
Karma imeshatenda yake.
Bado hao walioingia kwa dhulma,umauti utawanyofoa mmoja baada ya mwingine.
Yule wa Zanzibar alipita ubunge akaona aachie ngazi nae ameogopa karma. Dhuluma mbaya sana na kujiona unaweza kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…