Kihisia wanaume na wanawake tupo tofauti, ili nienjoy lazima niwe tumezoeana , si vinginevyoSasa hata ukimfahamu si utaliwa tuuu.
Kikubwa we jua ukienda kwa mwanaume unaenda kuliwa hayo ya kuwa mpaka kufahamiana ni ya watoto wa chekechea
Mnafahamiana kwani mnampango wa kufunga ndoa. Kula/liwa endelea na maisha mengine.
Maigizo igizo ni kupoteza muda na fedha zisizo za lazma kupotea
Acha upuuzi, unapokea nauli ya nini sasa kama hutaki tulale wote? Kama anaetuma nauli sio kaka yako au baba ako nenda umevua pichu binti mdogo ww.Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Aisee harudii tenaNilihama lodge
Kwa nini ulikubali kwenda?Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
akikujibu naomba unitagKuna mtu atakuja kukuuliza mbona wewe haukuwa mvumilivu kwenye kupokea pesa za voucher