Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Teh, angekua anarudisha pesa za vochaKuna mtu atakuja kukuuliza mbona wewe haukuwa mvumilivu kwenye kupokea pesa za voucher
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh, angekua anarudisha pesa za vochaKuna mtu atakuja kukuuliza mbona wewe haukuwa mvumilivu kwenye kupokea pesa za voucher
Sikubaliani na hii ya nipe muda nikuzoee. Hii ni dalili ya kuwa hujampenda so unamweka kwenye friend zone . Wanawake huwa siku ya kwanza wanafahamu je huyu kijana ananifaa au hanifai.Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Umeende alafu....Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Ungerudisha my diaSikumuomba
Kukuzoea ndo kutanipa ujasiri wa kukuvulia na pia nitaenjoy. Si kwa haraka hiyoSikubaliani na hii ya nipe muda nikuzoee. Hii ni dalili ya kuwa hujampenda so unamweka kwenye friend zone . Wanawake huwa siku ya kwanza wanafahamu je huyu kijana ananifaa au hanifai.
We kama humtaki kataa hapohapo na wanaume ukiona demu anakupiga chenga piga chini. Usipoteze muda.
Ni heri umwambie kuwa unampenda ila mkapanga lini mkutane mkiwa free wote mfurahie penzi lenu kuliko hii ya nipe muda.
Usingekubali nauli sasa.Siyo fasta hivo unavyofikiria
sema na nyie hua hamueleweki.....Sikumuomba
Kwan ukisubiri utapungukiwa nin?Usingekubali nauli sasa.
Wewe ni wa kupigwa mtungo, tena matobo yote, huna adabu kabisa na hela za watu.
Huwa mnakera kweli, jitu umelitongoza wiki nzima linakuja kwako halitaki kutiwa, ndo nn sasa?
Sasa mkuu ulidhani unafunga safari kwenda kwake mpige story yani ina maana ni mbali kama ilibdii ulale lodge ulipofukuzwa.Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Huo uzito ulousababisha unataka nani aupunguze, nyeto mie sipigi.Kwan ukisubiri utapungukiwa nin?
Tukutane hata mara 10 hivi ana kwa ana, halafu tuwe tunapiga stories muda usiopungua saa 3,hapo nakuzoea na hata ukihitaji sasa nakupa bila tatizosema na nyie hua hamueleweki.....
inachukua mda gani kumzoea ili uweze kunanilii nae??
Ila tumia maneno mengine siyo nipe muda nikuzoee. Wanaume wengi ambao ni serious, na ni alpha male na mwenye uwezo mkubwa wa kiakili hawezi kukubali kupewa muda, kwenye akili yake hiyo ni tafsiri ya wewe kusema hapana.Kukuzoea ndo kutanipa ujasiri wa kukuvulia na pia nitaenjoy. Si kwa haraka hiyo