Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,

Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Sikubaliani na hii ya nipe muda nikuzoee. Hii ni dalili ya kuwa hujampenda so unamweka kwenye friend zone . Wanawake huwa siku ya kwanza wanafahamu je huyu kijana ananifaa au hanifai.

We kama humtaki kataa hapohapo na wanaume ukiona demu anakupiga chenga piga chini. Usipoteze muda.

Ni heri umwambie kuwa unampenda ila mkapanga lini mkutane mkiwa free wote mfurahie penzi lenu kuliko hii ya nipe muda.
 
Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,

Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Umeende alafu....
 
Sikubaliani na hii ya nipe muda nikuzoee. Hii ni dalili ya kuwa hujampenda so unamweka kwenye friend zone . Wanawake huwa siku ya kwanza wanafahamu je huyu kijana ananifaa au hanifai.

We kama humtaki kataa hapohapo na wanaume ukiona demu anakupiga chenga piga chini. Usipoteze muda.

Ni heri umwambie kuwa unampenda ila mkapanga lini mkutane mkiwa free wote mfurahie penzi lenu kuliko hii ya nipe muda.
Kukuzoea ndo kutanipa ujasiri wa kukuvulia na pia nitaenjoy. Si kwa haraka hiyo
 
Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,

Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Sasa mkuu ulidhani unafunga safari kwenda kwake mpige story yani ina maana ni mbali kama ilibdii ulale lodge ulipofukuzwa.
This is Afrika acheni kuwaza kama mnavyoona kwenye movie za kikorea. Afrika ukija geto tafsiri ni kwamba umekubaliana na matokeo.
 
Kukuzoea ndo kutanipa ujasiri wa kukuvulia na pia nitaenjoy. Si kwa haraka hiyo
Ila tumia maneno mengine siyo nipe muda nikuzoee. Wanaume wengi ambao ni serious, na ni alpha male na mwenye uwezo mkubwa wa kiakili hawezi kukubali kupewa muda, kwenye akili yake hiyo ni tafsiri ya wewe kusema hapana.

Watatafuta chombo kingine, hawataki kuchezewa akili na wanawake ambao wanataka attention kutoka kwao alafu hawataki kuirudisha. Isitoshe unaweza muomba mkutane next time mjuane zaidi. Mi nakuambia hivyo maana asilimia 98% ya wanawake hutamani kuwa na beta male( submissive male) baada ya kupigwa matukio na wakishampata , huwachukia kwasababu sio alpha male.

Mi nakuambia tu.
 
Back
Top Bottom