enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,838
- 7,346
Samahani hapa umemaanisha nini?? Unaweza kujifunza kitu bila kukielezea kwanza?? Unahisi elimu yoyote ile haina hiki kitu 'maelezo'??Hii elimu yenu mnayofundishwa shule definitions za lugha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani hapa umemaanisha nini?? Unaweza kujifunza kitu bila kukielezea kwanza?? Unahisi elimu yoyote ile haina hiki kitu 'maelezo'??Hii elimu yenu mnayofundishwa shule definitions za lugha
Umeelewa sasa kwamba uislam ni utamaduni unaojitegemea tofauti na utamaduni wa kiarabu ambao muhammad aliwahubiria waarabu waachane nao?...Samahani hapa umemaanisha nini?? Unaweza kujifunza kitu bila kukielezea kwanza?? Unahisi elimu yoyote ile haina hiki kitu 'maelezo'??
Naomba utupe upotoshaji wake kwa ushahidi wa kimantiki ,kisha tupe ushahidi wa kimantiki kuhusu hiyo elimu yako kuwa ni sahihi zaidi.inawapotosha
Kiswahili kule mnaambiwa wanyama hawana lugha kisa nini?..wanyama wenyewe mbona huelewana wakizungumza?..Naomba utupe upotoshaji wake kwa ushahidi wa kimantiki ,kisha tupe ushahidi wa kimantiki kuhusu hiyo elimu yako kuwa ni sahihi zaidi.
Nimeamua kukuacha coz unapenda ubishani.Umeelewa sasa kwamba uislam ni utamaduni
Nitajie baadhi ya tamaduni za kiarabu ambazo mtume aliziacha.tofauti na utamaduni wa kiarabu ambao muhammad aliwahubiria waarabu waachane nao?...
Tupe ushahidi wa kimantiki.wanyama wenyewe mbona huelewana wakizungumza?
Najua umeelewa ila for the sake of debating.. karibu futariNimeamua kukuacha coz unapenda ubishani.
Nitajie baadhi ya tamaduni za kiarabu ambazo mtume aliziacha.
Kwani kila kitu katika utamaduni kinafaa?? Hujui kuwa utamaduni hubadilika?? Unaelewa maana ya ustaarabu??
Kaoge banaTupe ushahidi wa kimantiki.
Warumi waliobuni hiyo adhabu ya kifo cha msalaba walikuwa na maana unayoieleza.??That is wishful thinking ya mawazo ya theolojia ya kipumbavu kabisa ambayo haina uhusiano wowote na mungu wa kweli. It is a trial to philosophieze unreal things . Ujinga tu wala Mungu hayuko kwenye ujinga huo. It is a product of human imagination wala hakuna cha maana hapo.Kwa uelewa wangu mdogo. Msalaba uko na pembe nne zote zikiwa zimebeba maana ndani yake.
Kuna uelekeo wa kichwa ukiwakilisha uhusiano wa mtu na Muumba wake,
Uelekeo wa miguu ukiwakilisha uhusiano wa mwanadamu na ardhi/unyama wake.
Uhusiano wa pande mbili za mikono ukiwakilisha mema na mabaya ambapo hata kwa mujibu wa biblia pale msalabani Yesu alisurubiwa katikati ya watu wawili na yule wa upande mmoja alimkubali na wa upande mwingine alimkashifu. Lakini yule aliyemkashifu Yesu hakumjibu kitu. Unafikiri ni kwanini hakumjibu ni kwa sababu kati ya mema na mabaya kuna mtu. Na alitambua katika mema kuna mabaya na katika mabaya kuna mema LAKINI hawa wote walichokikosa ni uzima na ndio aliouleta.
Inaweza kuwa ilikuwa ni tamaduni za warumi kutesa wahalifu kwa staili ile lakini haikuwa bahati mbaya kwa Yesu kuwekwa msalabani.
Hakuna mnyama asiye na lugha. Zingine ni ultrasound sisi binadamu hatuwezi kuzisikia maana masikio yetu yana range ya frequency ya sauti ikiwa nje ya range hiyo huwezi kusikia chochote.Tatizo hutaki kuelewa,ikiwa uislam unaelekeza jinsi ya kuishi na kufanya ibada,huo ni mfumo wa maisha,kama mfumo wa maisha si utamaduni,hilo siyo tatizo langu,kama mfumo wa maisha ni utamaduni basi uislam siyo utamaduni wa kiarabu sababu hayo maelekezo ya kwenye Quran walielekezwa kwanza waarabu ambao walikua na utamaduni wao kabla ya muhammad kuhubiri uislam
Hii elimu yenu mnayofundishwa shule definitions za lugha, kwamba wanyama hawana lugha kisa hawana sijui konsonanti,irabu,nomino sijui vitu gani,inawapotosha
Kwenye kiswahili a level wanafundishwa wanyama hawana lughaHakuna mnyama asiye na lugha. Zingine ni ultrasound sisi binadamu hatuwezi kuzisikia maana masikio yetu yana range ya frequency ya sauti ikiwa nje ya range hiyo huwezi kusikia chochote.
Hawana akili kabisa kama wale wazunguka jiwe jeusi bila kuvaa nguo za ndaniWe watu wanamuita binadamu mungu, na Mama yake wanamuita mama wa mungu hao watu akili watatoa wapi
Lete ushahidi ustadh shabanKile kitambaa kinachoonekana kwenye picha zake au sanamu ni usanii tu. Wahalifu wote enzi zile walikuwa wakisulibiwa uchi. Ilitakiwa kuwa adhabu ya fedheha ili usicheze na mkoloni. Yesu alisulibiwa uchi kabisa hakuwa na chupi wala kitambaa chochote.
Katika mpira watu wanahesabu magoli kama magoli lakini Kuna goli BoraYesu hakuwa wa kwanza kusulibiwa. Soma hata secular history tu. Ilikuwa adhabu ya wakoloni Warumi for anyone who messes with the authority. Ukileta za kuleta unatundikwa msalabani mahali ambapo watu wengi wanapita ili wakiona suluba unayopata wasijaribu kucheza na mkoloni
We kima hujui hata lugha Tu ni sehemu ya utamaduni.Hakuna utamaduni wa kiarabu unaoingiliana na uislam