Kutumia Msalaba kama ishara ya ukristo na kanisa si sahihi

Kutumia Msalaba kama ishara ya ukristo na kanisa si sahihi

Sasa kwa nini tutumie msalaba kama alama?? Mungu mwenyewe amesema adhabu ile ni laana. AMELAANIWA AANGIKWAYE JUU YA MTI. Just a thought for the mind!
Alama ya msalaba wa Kikristo ina maana muhimu sana kwa Wakristo. Msalaba unawakilisha kifo cha Yesu Kristo msalabani na kufanikisha kwa wokovu wa wanadamu kupitia sadaka yake. Hapa kuna baadhi ya maana muhimu za alama ya msalaba:

1. Wokovu na Msaada: Msalaba ni alama ya wokovu na msaada wa Mungu. Yesu alikufa msalabani ili kutusamehe dhambi na kutufungulia njia ya kumwona Mungu.

2. Mapenzi ya Mungu: Msalaba unawakilisha mapenzi ya Mungu kwa wanadamu. Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili ya wokovu wetu, akionyesha upendo mkubwa wa Mungu.

3. Kifo na Ufufuko: Msalaba pia unakumbusha kifo cha Yesu na ufufuko wake. Kifo chake kilikuwa mwisho wa mateso yake kimwili, lakini ufufuko wake ulithibitisha ushindi wake juu ya mauti na dhambi.

4. Kumtambua Yesu: Wakristo hutumia msalaba kwa heshima na kumkumbuka Yesu Kristo. Ni alama ya imani yao na kumtambua Yesu kama Mwokozi.

5. Kuvumilia na Mateso: Msalaba pia unawakilisha kuvumilia na mateso. Yesu aliteswa na kufa msalabani, na hii inawaonya Wakristo kuvumilia mateso yao kwa sababu ya imani.

Kwa ujumla, msalaba ni alama yenye nguvu inayowakilisha mafundisho makuu ya Ukristo, ikiwa ni pamoja na wokovu, upendo, na ushindi wa Yesu Kristo juu ya dhambi na mauti.
 
Sasa ndio linakuja suala la kutokuelewa mamba kwa wakristo wengi wanaofikiri kuwa ukweli wa kikristo ni ule tu ulioandikwa kwenye Biblia. Hata Biblia yenyewe inasema yote aliyoyatenda Yesu yangeandikwa, ulimwengu huu usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu hivyo. Kumbe tunayojajua na yaliyoandikwa na tone tu ndani ya bahari.

Kuna vitabu vingi tu vya kidini na vingine vya kidunia vinaeleza mambo mengi ya Yesu ambayo yanathibitishwa na Biblia na mengine sio. Usisahau pia kwamba hata Biblia ni mapokeo kwa njia ya maandishi. Yapo mapokeo mengi sana ya kimaandishi pia yanaonesha uhalisia mzuri zaidi kuliko Biblia ya namba misalaba ya Warumi ilivyokuwa.

Crucifixion methods varied depending on the purpose: sudden death, death or just torture. The angle of the hands by the head or over the head, in combination with the position of the body, had exactly to do with the purpose of the punishment. It is a gross mistake to make uncritical generalizations. Mtume Peter mwenyewe alisulubiwa kwenye msalaba ulibinuliwa kichwa chini miguu juu. Sio kila msalaba ulikuwa kwa lengo la kumuua msulubiwa, Sio kila msulubiwa alifungwa kwa misumari, wengine ilikuwa kamba tu. kulingana na adhabu iliyokusudiwa.

Kulikuwa na staili nyingi mno za misalaba kama unavyoona hapa:
TypeDescriptionShape
Crux SimplexA simple upright stake without a crossbeam. Victims were tied or nailed directly to the vertical post.
Crux Commissa (T)A T-shaped cross where the horizontal beam (patibulum) was attached at the top of the vertical post.T
Crux Immissa (†)The traditional Christian cross with a horizontal beam placed below the top of the vertical post.
Crux Decussata (X)An X-shaped cross, also known as Saint Andrew’s Cross, where victims were tied or nailed to two intersecting beams.X
Impaling StakeA single upright stake used for impalement or tying victims in various positions, as described by Roman historian Seneca.Vertical stake
Sawa kabisa. Nayajua hayo yote. Lakini kumbuka hata si madhehenmbu yote ya kikristo yanakubaliana kwamba Yesu alisulibiwa kwenye msalaba wa magogo mawili. Si kwamba sijasoma vitabu hivyo vya kimapokeo( Apocryphal books). Na hilo andiko la mtakatifu Yohana kusema kwamba kama yote aliyotenda Yesu yangeandikwa dunia isingetosha kuvihifadhi vitabu ni kichekesho kama likichukuliwa literally! Tuna mamilioni ya vitabu duniani na haijajaa vitabu!
 
Alama ya msalaba wa Kikristo ina maana muhimu sana kwa Wakristo. Msalaba unawakilisha kifo cha Yesu Kristo msalabani na kufanikisha kwa wokovu wa wanadamu kupitia sadaka yake. Hapa kuna baadhi ya maana muhimu za alama ya msalaba:

1. Wokovu na Msaada: Msalaba ni alama ya wokovu na msaada wa Mungu. Yesu alikufa msalabani ili kutusamehe dhambi na kutufungulia njia ya kumwona Mungu.

2. Mapenzi ya Mungu: Msalaba unawakilisha mapenzi ya Mungu kwa wanadamu. Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili ya wokovu wetu, akionyesha upendo mkubwa wa Mungu.

3. Kifo na Ufufuko: Msalaba pia unakumbusha kifo cha Yesu na ufufuko wake. Kifo chake kilikuwa mwisho wa mateso yake kimwili, lakini ufufuko wake ulithibitisha ushindi wake juu ya mauti na dhambi.

4. Kumtambua Yesu: Wakristo hutumia msalaba kwa heshima na kumkumbuka Yesu Kristo. Ni alama ya imani yao na kumtambua Yesu kama Mwokozi.

5. Kuvumilia na Mateso: Msalaba pia unawakilisha kuvumilia na mateso. Yesu aliteswa na kufa msalabani, na hii inawaonya Wakristo kuvumilia mateso yao kwa sababu ya imani.

Kwa ujumla, msalaba ni alama yenye nguvu inayowakilisha mafundisho makuu ya Ukristo, ikiwa ni pamoja na wokovu, upendo, na ushindi wa Yesu Kristo juu ya dhambi na mauti.
Bado swali langu linakuja pale pale. Msalaba una structure ipi? Otherwise tutakuwa tunafanya ibada ya sanamu kuweka ishara ambayo haipo.
 
Sasa ndio linakuja suala la kutokuelewa mamba kwa wakristo wengi wanaofikiri kuwa ukweli wa kikristo ni ule tu ulioandikwa kwenye Biblia. Hata Biblia yenyewe inasema yote aliyoyatenda Yesu yangeandikwa, ulimwengu huu usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu hivyo. Kumbe tunayojajua na yaliyoandikwa na tone tu ndani ya bahari.

Kuna vitabu vingi tu vya kidini na vingine vya kidunia vinaeleza mambo mengi ya Yesu ambayo yanathibitishwa na Biblia na mengine sio. Usisahau pia kwamba hata Biblia ni mapokeo kwa njia ya maandishi. Yapo mapokeo mengi sana ya kimaandishi pia yanaonesha uhalisia mzuri zaidi kuliko Biblia ya namba misalaba ya Warumi ilivyokuwa.

Crucifixion methods varied depending on the purpose: sudden death, death or just torture. The angle of the hands by the head or over the head, in combination with the position of the body, had exactly to do with the purpose of the punishment. It is a gross mistake to make uncritical generalizations. Mtume Peter mwenyewe alisulubiwa kwenye msalaba ulibinuliwa kichwa chini miguu juu. Sio kila msalaba ulikuwa kwa lengo la kumuua msulubiwa, Sio kila msulubiwa alifungwa kwa misumari, wengine ilikuwa kamba tu. kulingana na adhabu iliyokusudiwa.

Kulikuwa na staili nyingi mno za misalaba kama unavyoona hapa:
TypeDescriptionShape
Crux SimplexA simple upright stake without a crossbeam. Victims were tied or nailed directly to the vertical post.
Crux Commissa (T)A T-shaped cross where the horizontal beam (patibulum) was attached at the top of the vertical post.T
Crux Immissa (†)The traditional Christian cross with a horizontal beam placed below the top of the vertical post.
Crux Decussata (X)An X-shaped cross, also known as Saint Andrew’s Cross, where victims were tied or nailed to two intersecting beams.X
Impaling StakeA single upright stake used for impalement or tying victims in various positions, as described by Roman historian Seneca.Vertical stake
Hata kama yote aliyotenda na kufundisha Yesu yangeandikwa yote bado dunia haingejaa vitabu na kukosa nafasi ya kuviweka. Unatakiwa kujua mazingira ya mwandishi aliyeandika injili ya Yohana na siyo kutafsiri kila kila kitu literally. Duniani leo kuna mamilioni ya vitabu na wala dunia haijakosa nafasi ya kuviweka!
 
Bado swali langu linakuja pale pale. Msalaba una structure ipi? Otherwise tutakuwa tunafanya ibada ya sanamu kuweka ishara ambayo haipo.
Ile ni alama.
Logo ni kama ukiona bendera za taifa unajua ni taifa gani
 
Msalaba ni ishara ya wapagani toka zamani. Wanasema unawakilisha uchi wa wa mwanaume, viungo vya uzazi vya mwanamke au waabudu ng'ombe.
1740841308987.jpeg
 
Nimeuliza msalaba una umbile gani? Mtume Paulo alipoongelea habari za msalaba alimaanisha lile gogo la kunyogea watu???? Mbona akili zetu wakristo kama zina kasoro?? Tuna doctoral degrees za Theology sijui hata ni nini tulichosoma huko!
Kwani reli ina umbile gani?
 
Mimi nafanya ishara ya msalaba nikianza kusali njoo unipige basi.
Ifike wakati tuache kulazimishana kwenda mbinguni aisee ukienda wewe inatosha.
 
Sawa kabisa. Nayajua hayo yote. Lakini kumbuka hata si madhehenmbu yote ya kikristo yanakubaliana kwamba Yesu alisulibiwa kwenye msalaba wa magogo mawili. Si kwamba sijasoma vitabu hivyo vya kimapokeo( Apocryphal books). Na hilo andiko la mtakatifu Yohana kusema kwamba kama yote aliyotenda Yesu yangeandikwa dunia isingetosha kuvihifadhi vitabu ni kichekesho kama likichukuliwa literally! Tuna mamilioni ya vitabu duniani na haijajaa vitabu!
Sawa kumbe tafsiri yake ni kwamba Yesu alitenda mengi mno na yaliyoandikwa ni machache tu. Mapokeo sio jambo baya kama watu walivyoaminishwa, hata Yesu aliishi mapokeo ya Kiyahudi. Cha msingi hayo mapokeo ni mazuri au mabaya?
 
wanadai ukiwaonesha mapepo hiyo zana ya kuulia wahalifu wananikimbia
 
Mimi nafanya ishara ya msalaba nikianza kusali njoo unipige basi.
Ifike wakati tuache kulazimishana kwenda mbinguni aisee ukienda wewe inatosha.
Mbinguni ni wapi? Isije kuwa kuwa unaamini mbinguni ni kule kwenye anga za juu. Hata Yuri Gagarini, mwanaanga (Astronaut ) wa Urusi alienda huko akasema I didn't find God. Mbinguni na outer space ni vitu viwili tofaouti kabisa
 
Two straight iron lines stretching parallel to each other. Au swali lako lilikuwa na maana gani?
A cross is a compound geometrical figure consisting of two intersecting lines, usually perpendicular to each other.
Bado swali langu linakuja pale pale. Msalaba una structure ipi? Otherwise tutakuwa tunafanya ibada ya sanamu kuweka ishara ambayo haipo.
Au unajibu lako? Jibu la msalaba hilo hapo juu.
 
A cross is a compound geometrical figure consisting of two intersecting lines, usually perpendicular to each other.

Au unajibu lako? Jibu la msalaba hilo hapo juu.
Hilo ni jawabu la lugha ipi? The new testament was written in Greek.
 
Hilo ni jawabu la lugha ipi? The new testament was written in Greek.
Unataka la lugha ya Greek ngoja ni kuwekee.

Ο σταυρός είναι ένα σύνθετο γεωμετρικό σχήμα που αποτελείται από δύο τεμνόμενες γραμμές, συνήθως κάθετες μεταξύ τους
O stavrós eínai éna sýntheto geometrikó schíma pou apoteleítai apó dýo temnómenes grammés, syníthos káthetes metaxý tous

Ukielewa ndio utajua maana ile ile,ukitaka ya kiyahudi niambie.
 
Msalaba ni zana ya kunyongea wahalifu ya utawala wa Warumi (weapon of execution) kama ilivyo kamba ya kunyogea, kiti cha umeme, sindano ya sumu au jambia la kuchinjia. Kama Yesu angechinjwa kwa jambia je tungekuwa tunaweka alama ya ya upanga/jambia juu ya jengo la kanisa au kuivaa kifuani???
Wewe utakuwa ni Msagati kutoka Musoma, akili za kuambiwa na mzushi Hellen White
 
Mbinguni ni wapi? Isije kuwa kuwa unaamini mbinguni ni kule kwenye anga za juu. Hata Yuri Gagarini, mwanaanga (Astronaut ) wa Urusi alienda huko akasema I didn't find God. Mbinguni na outer space ni vitu viwili tofaouti kabisa
Njoo unipige
 
Back
Top Bottom