- Thread starter
- #21
Sijawahi kuiona. Ngoja nitaiangaliaUkiangalia documentary ya Jesus:his life,utagundua mengi, ilikua pure politics,wakitupiana mipira mtawala wa galilaya na huyo aliyemsulubu,niliiona channel ya history, DStv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuiona. Ngoja nitaiangaliaUkiangalia documentary ya Jesus:his life,utagundua mengi, ilikua pure politics,wakitupiana mipira mtawala wa galilaya na huyo aliyemsulubu,niliiona channel ya history, DStv
Kwahiyo unashauri tutumie mfuko wa cementMsalaba ni zana ya kunyongea wahalifu ya utawala wa Warumi (weapon of execution) kama ilivyo kamba ya kunyogea, kiti cha umeme, sindano ya sumu au jambia la kuchinjia. Kama Yesu angechinjwa kwa jambia je tungekuwa tunaweka alama ya ya upanga/jambia juu ya jengo la kanisa au kuivaa kifuani???
Shida iko wapi? mbona hiyo ni alama tu, dini zingine zina alama ya michoro na maumbile tofauti ni sawa tu, hata ingekuwa panga ni sawa tu, mbona kuna dini za asia zina alama ya jambiaMsalaba ni zana ya kunyongea wahalifu ya utawala wa Warumi (weapon of execution) kama ilivyo kamba ya kunyogea, kiti cha umeme, sindano ya sumu au jambia la kuchinjia. Kama Yesu angechinjwa kwa jambia je tungekuwa tunaweka alama ya ya upanga/jambia juu ya jengo la kanisa au kuivaa kifuani???
Upumbavu tuHalafu wanadanganya watu na kujidanganya wenyewe ukiutishia uchawi/jini msalaba basi uchawi/jini unaondoka
Kanisa lilianza kutumia msalaba kama alama yake, miaka mia nne baada ya yesu kuondoka
Lengo la hii mada yako ni kutaka kujua historia ya lini Kanisa lilianza kutumia alama ya msalaba, au ni kutaka kufahamu kama ni sahihi kwa Ukristo/Wakristo kutumia alama ya msalaba Kanisani?Angalau wewe una uelewa wa historia ya ukristo. Asante
Jina la Mungu wa kweli ndilo linatosha.Kwahiyo unashauri tutumie mfuko wa cement
Nina uhakika wa 100% kuwa huyo Idiot hajakuelewa na hata Idiots wengine pia hapa hawajakuelewa na hawatakuelewa.Kwa uelewa wangu msalaba huwa unatumika kama ukumbusho wa Yesu kufa msalabani,Sioni ww una tatizo gani hapo?
Mkuu nimeongelelea imani ya kikristo. Theolojia (Tauhid) yetu ni tofauti kabisa na hizo imani zingine ila kwa suala hili ndio maana niewaalika maaskofu,mapadri, wachungaji, maprofesa wa Theology tulijadiliShida iko wapi? mbona hiyo ni alama tu, dini zingine zina alama ya michoro na maumbile tofauti ni sawa tu, hata ingekuwa panga ni sawa tu, mbona kuna dini za asia zina alama ya jambia
Twende mdogo mdogo tu labda tutaelewanaNina uhakika wa 100% kuwa huyo Idiot hajakuelewa na hata Idiots wengine pia hapa hawajakuelewa na hawatakuelewa.
Mkuu, everything can be debated. Sasa nikija kwenye debate bila kuwa na mtazamo wangu hiyo siyo debate tena. Nimeleta hoja na ijibiwe kwa hoja.Lengo la hii mada yako ni kutaka kujua historia ya lini Kanisa lilianza kutumia alama ya msalaba, au ni kutaka kufahamu kama ni sahihi kwa Ukristo/Wakristo kutumia alama ya msalaba Kanisani?
Mimi nimekujibu kulingana na ulivyo uliza. Ya kwamba matumizi ya alama msalaba yanatumiwa na Wakristo kama kumbukumbu ya Masiya wao kuteswa na kuuwawa kwa kutumia msalaba! Ni kupitia alama ya msalaba kila Mkristo anatumbua Yesu aliteswa na kufa msalabani. Shida iko wapo ukiendelea kutumika kama ukumbusho kwa vizazi na vizazi?
Kwa hiyo siyo vizuri kuleta mada jukwaani, huku ukiwa tayari na mtazamo/majibu yako.
Pia naomba unipe uhakika kama huo msalaba una structure hiyo inayotumiwa na wakristo. Maana injili inasema aliondoka pale mahakamani AKIJUCHUKULIA MSALABA WAKE. Unataka kuniambia alibeba magogo yote mawili baaada ya ile mijeledi 40 ambayo lengo ni kummaliza mhalifu nguvu akitundikwa afe upesi??Lengo la hii mada yako ni kutaka kujua historia ya lini Kanisa lilianza kutumia alama ya msalaba, au ni kutaka kufahamu kama ni sahihi kwa Ukristo/Wakristo kutumia alama ya msalaba Kanisani?
Mimi nimekujibu kulingana na ulivyo uliza. Ya kwamba matumizi ya alama msalaba yanatumiwa na Wakristo kama kumbukumbu ya Masiya wao kuteswa na kuuwawa kwa kutumia msalaba! Ni kupitia alama ya msalaba kila Mkristo anatumbua Yesu aliteswa na kufa msalabani. Shida iko wapo ukiendelea kutumika kama ukumbusho kwa vizazi na vizazi?
Kwa hiyo siyo vizuri kuleta mada jukwaani, huku ukiwa tayari na mtazamo/majibu yako.
Kuna shida ya ufahamu. Mimi ni mkristo lakini nikiona mahali pamepotoka lazima tuwekane sawa. I am not a conservative Christian!We watu wanamuita binadamu mungu, na Mama yake wanamuita mama wa mungu hao watu akili watatoa wapi
Toa mapendekezo itumike ishara gani. Kama haitakiwi kabisa, anzisha kanisa au huduma yako, tutatoa sadakaNakuheshimu sana mkuu lakini waliosulibiwa kwenye msalaba siyo Yesu peke yake. Maelfu walinyongwa kwa njia hiyo kwa hiyo hiyo siyo alama ya Yesu Kristo
Sadaka tena? Sina njaa hiyo mkuu. Nchi tajiri hii nikose akili nianze kuhubiria watu utapeli wa kiroho? Nimesema hata kwenye hilo la msalaba hakuna mwenye uhakika structure yake iliyotumika kumuua Yesu ilikuwaje. Ilikuwa ngozo moja au nguzo na kipande cha mabegani that is a matter of debate. . Kwa kile kipigo cha pale mahakamani kubeba magogo mawili ni jambo lisililofikirika!Toa mapendekezo itumike ishara gani. Kama haitakiwi kabisa, anzisha kanisa au huduma yako, tutatoa sadaka
Ndio, kama Yesu angeuwawa kwa bunduki tungeweka bunduki kuwa ishara ya Kanisa au Ukristo! Yesu mwenyewe anasema hakuja kwa ajili ya wenye afya, amekuja kwa ajili ya wagonjwa ili wapate afya. Yesu na Ukristo ni mwanamapinduzi. Kuna vitu vingi sana mwanzoni vilikuwa ishara ya mabaya lakini Yesu amekuja na kuvibadilisha kuwa ishara ya wema. Na hakuna ushindi kama kutumia kilichokuwa kinatumiwa kwa uovu na sasa kuwa ndio zana ya kutendea mema! Hiyo ndio inammaliza kabisa shetani. Msalaba ni mojawapo tu ya mifano hiyo, ipo mingi.Msalaba ni zana ya kunyongea wahalifu ya utawala wa Warumi (weapon of execution) kama ilivyo kamba ya kunyogea, kiti cha umeme, sindano ya sumu au jambia la kuchinjia. Kama Yesu angechinjwa kwa jambia je tungekuwa tunaweka alama ya ya upanga/jambia juu ya jengo la kanisa au kuivaa kifuani???