Mkuu kuna hulka ya watu kuvamia vitu ambavyo wana taarifa zake kwa juu juu tu.Mbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.
Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
Watu hatuna taarifa sahihi ila tunahisi tunazo.Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa?
Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho...
Kwa hiyo uko uturuki wanapokwenda kunusa na kulambalamba kuokoa manusura , mji mzima unabidi utawazwe mara saba?, akilamba manusura inabidi naye akatawazwe mara saba?Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa...
Halafu mnalaumu waalimu.Kuna binadamu hawajaumba kufundishika.Wao wapo wapo.Bora liende. Akili zao wakiweza kusukuma mavi na za kuwafikisha nyumbani inatosha.Kwa hiyo uko uturuki wanapokwenda kunusa na kulambalamba kuokoa manusura , mji mzima unabidi utawazwe mara saba?, akilamba manusura inabidi naye akatawazwe mara saba?
Baniani mbaya kiatu chake dawa
Shukran nyingi zimuendee baby zu na ulamaa Kazakh destroyer ,,,nilikuwa nimelisahau hili somo...Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa...
sheikh wangu mbwa Hana unajisi wowote,si mate Wala maji ya pua,ndiyo maana wwngine hadithi hatuzitaki,zinazua mengi.Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa...
QUR'AN 5:4 ibaondoa uwongo wote wa kudai mbwa ni nahisi,huo ni uzushi tu wa watuMbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.
Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
We ni mwalimu kweli ?Mimi nimeuliza maswali kwa wewe mwalimu, au hujaona alama ya kiulizo hapo juu?Halafu mnalaumu waalimu.Kuna binadamu hawajaumba kufundishika.Wao wapo wapo.Bora liende. Akili zao wakiweza kusukuma mavi na za kuwafikisha nyumbani inatosha.
Mkuu kuna hulka ya watu kuvamia vitu ambavyo wana taarifa zake kwa juu juu tu.
Hebu jihabarishe ni katika mazingira gani mbwa anakuwa najisi.
Ha ha ha umenena vyema sana.Usikute mbwa wenyewe wanajua sisi binadamu ni najisi
Mkuu huo uulamaa usije ukawa ule wa baraza la wale majamaa.Shukran nyingi zimuendee baby zu na ulamaa Kazakh destroyer ,,,nilikuwa nimelisahau hili somo...
Ha ha haaa jamaa walitoa fatua Bila kuhusianisha na kitabu na sunna ...yaan unahukumu vile unavyotaka Kama wale jamaa wa upande wa kitimotoMkuu huo uulamaa usije ukawa ule wa baraza la wale majamaa.
Unasema?! hadithi hauzifanyaje? utafahamu vipi maana ya quran na muradi wake kama haukubali maneno ya mtume swala na salaam ziwe juu yake?.sheikh wangu mbwa Hana unajisi wowote,si mate Wala maji ya pua,ndiyo maana wwngine hadithi hatuzitaki,zinazua mengi
QUR'AN 5:4
Wanakuuliza wamehalalishiwa nini?..sema mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na 'mlichowafundisha WANYAMA kuwinda....'
Hahaha jamaa wanajiita ulamaa halafu hata kusoma quran mtihani.Ha ha haaa jamaa walitoa fatua Bila kuhusianisha na kitabu na sunna ...yaan unahukumu vile unavyotaka Kama wale jamaa wa upande wa kitimoto
Mbwa hajakatazwa kufugwa kwa matumizi ya ulinzi uokozi uwindaji mkuu karibu kusomaMbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.
Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
Maneno yaliyokusanywa miaka 200 baada ya mtume kufa unakuwa na uhakika gani ni ya mtume!?... Qur'an imesema yenyewe ni nyepesi kueleweka,wewe unadai ngumu kueleweka,unabishana nayo!?Unasema?! hadithi hauzifanyaje? utafahamu vipi maana ya quran na muradi wake kama haukubali maneno ya mtume swala na salaam ziwe juu yake?.