Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wale wenzangu na miye wa Tandika, Mwananyamala, Tandale na Mbagala waliozoea kutunzana pesa kwenye vigodoro vya HAKIKA, UBATIZO, KUMTOA MWALI au Kipaimara, watambue kwamba ni makosa makubwa kumtunza mtu fedha kwa kuzitupa chini, iwe kwenye mkeka, kitambaa au sakafuni.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Sheria na Katiba Mh Kabudi, ambapo imeelezwa kwamba atakayekutwa akifanya hivyo atakamatwa na kushitakiwa kwa kosa la kudharau pesa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video hii hapa
Hayo yamesemwa na Waziri wa Sheria na Katiba Mh Kabudi, ambapo imeelezwa kwamba atakayekutwa akifanya hivyo atakamatwa na kushitakiwa kwa kosa la kudharau pesa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video hii hapa