ngalakeri
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 1,673
- 1,401
Kuna mambo mengi ya kisheria ambayo Mwaluko anapaswa kuhangaika nayo ikiwemo haki za binadamu, uhuru wa mahakama, madudu ya ofisi ya DPP, migogoro ya ardhi, mirathi n.k, mambo ya kudondosha fwedha ni ya mwisho sana.Naona amezinduka sasa