Kutunza kwa kutupa pesa chini ni kosa, waweza kukamatwa - Profesa Kabudi

Kutunza kwa kutupa pesa chini ni kosa, waweza kukamatwa - Profesa Kabudi

Acheni watu tufurahie maisha aisee! Mtu akitupa hela chini serikali haipati na wala haipotezi chochote.
Nalog off
 
Hahaha kwahiyo kulewa Hennessy ndio kuwa na hela hahahaha


Vijana wa Bongo bana. Tena kwenda Hapo jalalani Beach Kidimbwi ndio unajiona umeyapatia maisha.


Watu tumefika SEASIDE AMELIA BEACH, FLORIDA na tumekaa kimya. Wewe kufika hapo uswekeni Beach Kidimbwi huoni hata aibu kuongea mbele za watu eti ulikuwa beach [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Wabongo tembeeni hata hapo CAPETOWN

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

Wacha kujisifu , wewe hata hujatembelea Chato beach resort , huko Florida hata ugolo original from Chato hakuna😛
😛
 
Ila Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kwahiyo serikali imeamua ianze kuingilia hadi kwenye furaha za watu shereheni!

Tutafika Mbinguni tukiwa tumechoka sana[emoji23][emoji23]
 
Wale wanaokanyaga katiba hawaoni! Tena ye akiwa Waziri wa KATIBA na sheria!
 
Sisi wazee mapapaa wa live band tutayamba mapepo.
 
Back
Top Bottom