chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Bible si kitabu cha taaluma! Na kama unapenda kuisoma na unaielewa, lakini ufuati yanayokupasa, lazima utachanganyikiwa, unaelewa mambo lakini unakuwa mnafiki, unaungana na mwonevu na kumpa moyo, basi litakupata!