Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] wakikujibu ni tagKwa sheria ipi?
Na kama anatunza pesa za kigeni je itakuaje?
Jaribu kutumia hata hiyo akili kiduchu uliyobakishiwa. Sijamtaja Lissu na hahusiki na uzi huu.Kwahiyo TAL ni wa majalalani?!
Wewe umesomea chooni ndiyo maana ubongo wako umechanganyika na haja kubwa.TAL alisoma majalalani.Ndiyo maana akili zake ni za kimajalalamajalala.
Tukutane kwenye liveband,Ngoja tuone bwashee waswahili husema Mwana kulitafuta..........!
Asiwapangie watu matumizi ya pesa zao MACHO KUVIMBA HUYOWaziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Tusubiri, 'miujiza' ya DPP!Hili linamhusu zaidi Papaa Ndama. Mimi Sexless na njaa yangu nitapata wapi hela ya kutunza kwa kutupa hela chini?
Wanao tuza, nadhani siyo wanao tunza,nikimaanisha,kuntunza ni kumhifadhi,kumlisha,kumvalisha,kumsomesha na mengine mengi yanayohusu matunzoWaziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Yaani unaitupa chini fedha yenye sura ya baba wa taifa?!!!!!Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!