Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuoneAmetaja kifungu gani Cha sheria au naye Ni kwa maoni yake Kama yule mtoa hukumu alivyotuthibitishia??
Kwa sasa tuna mjadala gani wa kitaifa bwashee?Spin doctors wa kubadili mijadala ya kitaifa
Sheria utaikuta mahakamani!Kwa sheria ipi?
Na kama anatunza pesa za kigeni je itakuaje?
Kuelekea 2025!Naona amezinduka sasa
Huyu ni mwalimu wa Tundu Lissu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%Mojawapo wa maprofesa wa hovyo kuwahi kutokea duniani. Apuuzwe tu.
Kwa hiyo ndiyo inamuondolea upuuzi wake wa majalalani?Huyu ni mwalimu wa Tundu Lisu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%
The guy is frustrated baada ya Mungu wake kuondoka.Spin doctors wa kubadili mijadala ya kitaifa
Kwahiyo TAL ni wa majalalani?!Kwa hiyo ndiyo inamuondolea upuuzi wake wa majalalani?
Hajatumia neno "Kwa sasa" kasema hamjui tu ila kutupa hela chini ni kosa, inaonekana sheria hipo tangia zamani! Pia kaendelea kusema wekeni kitu kama kikapu muwe mnaweka.Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Peleka ujinga wakoKwahiyo TAL ni wa majalalani?!
13 % za Mahela na team yake.... Kweli Watanzania bado Sana. No wonder CCM wanajitangazia matokeo kadli wanavyoona.Huyu ni mwalimu wa Tundu Lisu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%
TAL alisoma majalalani.Ndiyo maana akili zake ni za kimajalalamajalala.Kwa hiyo ndiyo inamuondolea upuuzi wake wa majalalani?
Hivi ni atakayetunza au atakayetuza? Hili neno huwa linanipa shida.. Hasa pale ninapomsikia Diamond akitamka "kumtunza"Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!