Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Naloli mweee.Fijho Nkamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata Kayafa pia alikuwa Mwalimu wa chemistry ya korosho.Huyu ni mwalimu wa Tundu Lissu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%
Kama KayafaTAL alisoma majalalani.Ndiyo maana akili zake ni za kimajalalamajalala.
Kwa hiyo kwenye sherehe watatumwa makachero, kwa kadi za mwaliko au...Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yeyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Chanzo: Eatv!
Hao ndio walimu bwashee.