Pre GE2025 Kuuawa kwa Mzee Ali Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi

Pre GE2025 Kuuawa kwa Mzee Ali Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni wehu nyie mnashindwa kujikomboa wenyewe mtakomboa nchi?? Nchi haiwezi kukombolewa Kwa maridhiano na siasa za kwenye Keyboard... Mnaboa bwanaa
Naona unasheherekea mauaji ya wasio na hatia

Yana mwisho haya...
 
Wapumbavu wakubwa nyie CHADEMA endeleeni kubwata badala yakuchukua Kali

Mzee kafariki bila hatia na kwann hamkumtangaza kuwa kahamia kwenu kutoka ccm


Mnyika aliulizwa na waandishi wa habari kuwa huyu mzee ni nani akajibu kihuni huni tu ..mkomeshwe kabisa
Kwahiyo kwa kutotangazwa kuwa kahamia CDM hiyo ndiyo iwe sababu ya kuuwawa. Ebu fafanua vizuri
 
Ninapinga mauaji ila kusema vyombo vya usalama vimehusika bila kuwa na ushahidi sio sawa. Pia nchi ilishajikomboa tangu 1961 kwahiyo huo ukombozi wenu uishie hukohuko Ufipa.
 
Kwanini hii nchi isiwe ya chama kimoja ambacho ni ccm.kuliko kuweka vyama vingi alafu hamtaki ushindani?
Ushauri tu.vyama vya upinzani viungane na vijifute kwenye siasa.wawaachie ccm watawale milele.maana mtaisha mjue.
 
Sababu zamnyika kuficha kwamba yule mzee ni mstaafu jeshini kwenye press ilikuwa nn
Kuna kosa gani kwa mstaafu wa Jeshi kujiunga Chadema, Mbona huyohuyo alikuwa CCM?

Kinana, Makamba, Kikwete, John Komba na wengine kibao walikuwa wanajeshi
 
Inasikitisha sana.lakini sometimes kupambania wajinga tuitwao waTanzania ni ujinga na wenyewe..bora ubaki na uhai wako ukacheke na wajukuu..ona sasa mzee wa watu walichomfanyia.Dah!
Kaka sometimes nawaza wapinzani wanapambania kizaxi ambacho kima ignore matatizo yao na kumkumbatia oppressor kwa makusudi

When watachoka? When hiko kizazi kitaamka
 
Lazima kuweka na mikakati ya kulipa kisasi, siyo suala la kuacha lipite hivi hivi. Viongozi kadhaa wa ccm lazima wauawe kufidia kifo cha huyu mzee.
 
Kuna kosa gani kwa mstaafu wa Jeshi kujiunga Chadema, Mbona huyohuyo alikuwa CCM?

Kinana, Makamba, Kikwete, John Komba na wengine kibao walikuwa wanajeshi
Kwann mnyika alificha kutambulisha wasifu wake ,ndohoja yangu

Jana ,ameulizwa wasifu wa Ali ,akajibu ni mjumbe secretarieti ,sawa kwann alificha kuhusu huduma nyingine alizohudumu kama mtaifa
 
Falsafa ya dini badala yakuja kuhakikisha kwamba yalio andikwa yana uhakika nawatu wapate hofu zaidi sasa kwabahati mbaya zaidi ndio imekuja kuwasanua watu kua moto mkali sana wakuchoma naulio jaa majoka makubwa
HAUPO👈
achilia mbali kusifu,kula kunywa na nakila starehe lakini watu wamepuuza kabisa ahadi hii.
nawaza kikundi,au watu flani wenye imani thabiti tena wakiwa na akili timamu juu ya mungu muumba hawawezi kufanya kitendo kibaya mnooo.
huwezi kuuwa watu kama unauhakika kabisa kesho kuna
MOTO👈
😭😭😭😭😭
Sijaelewa ulichoandika hapa kinahusiana vipi na mada mezani maana kama unaamini wenye dini na wanaoamini Mungu wote ni wema na wasioamini ktk Mungu wote ni wabaya utakuwa umeyumba kichwa vibaya sana.

Wapo atheist wema kushinda hao wenye dini zao na huko kwenye dini pia wema wapo,twende na mada mezani mjadala usihamishwe.
 
Kwann mnyika alificha kutambulisha wasifu wake ,ndohoja yangu

Jana ,ameulizwa wasifu wa Ali ,akajibu ni mjumbe secretarieti ,sawa kwann alificha kuhusu huduma nyingine alizohudumu kama mtaifa
Kulikuwa na ulazima upi?
 
Sijaelewa ulichoandika hapa kinahusiana vipi na mada mezani maana kama unaamini wenye dini na wanaoamini Mungu wote ni wema na wasioamini ktk Mungu wote ni wabaya utakuwa umeyumba kichwa vibaya sana.

Wapo atheist wema kushinda hao wenye dini zao na huko kwenye dini pia wema wapo,twende na mada mezani mjadala usihamishwe.
Sio rahisi kunielewa ndio hivo tena hukuelewa nilicho kiandika.
 
Nawakumbusha tu, nyie mnaoteka na kuuwa. Mnapanda mbegu mbaya sana. Na kila mbegu huota, nyingine inakuwa misitu mikubwa, mtashindwa kuikata, itageuka kuwamaliza wenyewe huko kwenye misitu. Be prepared...
 
Sa
Kwann mnyika alificha kutambulisha wasifu wake ,ndohoja yangu

Jana ,ameulizwa wasifu wa Ali ,akajibu ni mjumbe secretarieti ,sawa kwann alificha kuhusu huduma nyingine alizohudumu kama mtaifa
Ssa hizo huduma nyingine zingekusaidia nini hivi wewe unajua huduma nyingine za mbowe au hoyo mnyika huko aliku tokea hapa kikubwa ni kutafuta wauaji ni wakina nani basi finish au unataka kumnukuu mzee wa upako alivyo sema Jana kuwa kuna watu ruksa kutekwa hata kwenye Biblia wameandika.
 
Unapopataka napajua lakini kulikuwa na ulazima upi ikiwa huyu alishaingia kwenye siasa za hadharani tangu ccm?
Mimi ndo nimejua Leo ,kwann katibu hakutaja hayoyote akaishia kudai alikuwa mjumbe kwenye sekretarieti ya chama
 
Back
Top Bottom