myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
MUNGU AWAONDOE WAUAJI. KAMA ALIVYOWAONDOA WAUAJI KABLA YAO🙏🤲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu yeyote anatambulishwa kwa vyeo alivyonavyo sasa, hata Dr Slaa hakutambulishwa kwamba aliwahi kuwa Askofu wa Katoliki wala hawakusema alikuwa mwanaccm, Alitambulishwa kama Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa KaratuMimi ndo nimejua Leo ,kwann katibu hakutaja hayoyote akaishia kudai alikuwa mjumbe kwenye sekretarieti ya chama
Kaa kimya ...ngoja iendelee kuvujaMtu yeyote anatambulishwa kwa vyeo alivyonavyo sasa, hata Dr Slaa hakutambulishwa kwamba aliwahi kuwa Askofu wa Katoliki wala hawakusema alikuwa mwanaccm, Alitambulishwa kama Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Karatu
Kibao hakuwa Chadema kwa siri, kila mtu alijua yuko ChademaKaa kimya ...ngoja iendelee kuvuja
Huyu mzee alikuwa usalama, kuhama chama alijiandikia kifo chake mwenyewe, ukiwa usalama wa taifa tanzania baki na ccm ukitoka umekufa.
Hili liwe angalizo kwa Watekaji na Wauaji na Viongozi wa Nchi ya Tanzania Wanaowatuma kuteka na kuua, Kwamba CHADEMA haitavunjika Moyo kutokana na Mauaji ya Mohamed Kibao, hizi mbinu za vitisho kwenye zama za sasa ni mbinu zilizopitwa na Wakati.
Mzee Kibao alipokuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga hakuna aliyemgusa, kumtisha wala kumteka, Kuhamia CHADEMA tu limekuwa kosa la hukumu ya Kifo!
Hizi siasa za kishamba zinazoletwa na viongozi wa sasa wakiongozwa na Samia Suluhu Hassan, hazina tija yeyote kwenye Nchi na wala hazitoikatisha tamaa CHADEMA, zaidi sana zinaidhalilisha Nchi kwenye Jumuiya ya Kimataifa.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Bali Ifahamike Kwamba Chadema itaendelea kuhakikisha Nchi na Wananchi wanakombolewa, hii ni kwa sababu Hakuna mahali popote kwenye Dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Hata wewe Mwanaccm hupaswi kufurahia jambo hili, hii ni kwa vile Shetani hajawahi kuwa na Rafiki, akichoka kushughulika na Chadema atashughulikia Wanaccm Wenzake, Mifano ni Mingi Mno, Nape Nnauye, Edward Lowassa na Phillipo Mangula iwe sehemu ya Mafunzo kwenu.
Baada ya kutekwa na askari polisi(?)akaamua ajiue.🤔Una uhakika gani kwamba serikali imehusika?
kwa Mujibu wa kifungu gani cha Sheria za nchi kinachoelekeza haya?Huyu mzee alikuwa usalama, kuhama chama alijiandikia kifo chake mwenyewe, ukiwa usalama wa taifa tanzania baki na ccm ukitoka umekufa.
Ona akili zakoUna uhakika gani kwamba serikali imehusika?
Hawa vibaka hawa ,
Hili liwe angalizo kwa Watekaji na Wauaji na Viongozi wa Nchi ya Tanzania Wanaowatuma kuteka na kuua, Kwamba CHADEMA haitavunjika Moyo kutokana na Mauaji ya Mohamed Kibao, hizi mbinu za vitisho kwenye zama za sasa ni mbinu zilizopitwa na Wakati.
Mzee Kibao alipokuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga hakuna aliyemgusa, kumtisha wala kumteka, Kuhamia CHADEMA tu limekuwa kosa la hukumu ya Kifo!
Hizi siasa za kishamba zinazoletwa na viongozi wa sasa wakiongozwa na Samia Suluhu Hassan, hazina tija yeyote kwenye Nchi na wala hazitoikatisha tamaa CHADEMA, zaidi sana zinaidhalilisha Nchi kwenye Jumuiya ya Kimataifa.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Bali Ifahamike Kwamba Chadema itaendelea kuhakikisha Nchi na Wananchi wanakombolewa, hii ni kwa sababu Hakuna mahali popote kwenye Dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Hata wewe Mwanaccm hupaswi kufurahia jambo hili, hii ni kwa vile Shetani hajawahi kuwa na Rafiki, akichoka kushughulika na Chadema atashughulikia Wanaccm Wenzake, Mifano ni Mingi Mno, Nape Nnauye, Edward Lowassa na Phillipo Mangula iwe sehemu ya Mafunzo kwenu.
Tanzania hakuna sheria bali vizuri vya sheria.kwa Mujibu wa kifungu gani cha Sheria za nchi kinachoelekeza haya?
100% correct......Huyu hakuja Chadema Juzi, halafu wanaohamia Chadema ni wengi mno, si rahisi kuwatangaza wote hadharani
Hata wewe hauko salama, watu wa hovyo kama wewe ni janga kwa TaifaWapumbavu wakubwa nyie CHADEMA endeleeni kubwata badala yakuchukua Kali
Mzee kafariki bila hatia na kwann hamkumtangaza kuwa kahamia kwenu kutoka ccm
Mnyika aliulizwa na waandishi wa habari kuwa huyu mzee ni nani akajibu kihuni huni tu ..mkomeshwe kabisa
poleniHata wewe hauko salama, watu wa hovyo kama wewe ni janga kwa Taifa
Au sio?😎Mkombozi ni Yesu Kristo
Hoja ni watu kuuwawa siyo kujibanza kwenye kituturi kupiga kura.Elewa kwa kiasi.ni wajinga tu wanaweza kuipigia kura chagadema, mama atashinda kwa kishindo kihalali kabisa Ili chama cha mbowe kijifie
Kama ni hivyo kwanini mnawauani wajinga tu wanaweza kuipigia kura chagadema, mama atashinda kwa kishindo kihalali kabisa Ili chama cha mbowe kijifie