Pre GE2025 Kuuawa kwa Mzee Ali Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi ndo nimejua Leo ,kwann katibu hakutaja hayoyote akaishia kudai alikuwa mjumbe kwenye sekretarieti ya chama
Mtu yeyote anatambulishwa kwa vyeo alivyonavyo sasa, hata Dr Slaa hakutambulishwa kwamba aliwahi kuwa Askofu wa Katoliki wala hawakusema alikuwa mwanaccm, Alitambulishwa kama Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Karatu
 
Mtu yeyote anatambulishwa kwa vyeo alivyonavyo sasa, hata Dr Slaa hakutambulishwa kwamba aliwahi kuwa Askofu wa Katoliki wala hawakusema alikuwa mwanaccm, Alitambulishwa kama Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Karatu
Kaa kimya ...ngoja iendelee kuvuja
 
Huyu mzee alikuwa usalama, kuhama chama alijiandikia kifo chake mwenyewe, ukiwa usalama wa taifa tanzania baki na ccm ukitoka umekufa.
 
sema tu bayana kwamba hilo ni onyo kwa wanaowapipinga baadhi ya wenye nguvu wanaotafuta uongozi kwa udi na uvumba chamani licha ya kua hawana hoja wala uhalali wa kua viongozi 🐒
 
First they came for the socialists, and I did not speak out—because I was not a socialist.

Then they came for the trade unionists, and I did not speak out—because I was not a trade unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out—because I was not a Jew.

Then they came for me—and there was no one left to speak for me.

—Martin Niemöller
 
Una uhakika gani kwamba serikali imehusika?
Ona akili zako

First they came for the socialists, and I did not speak out—because I was not a socialist.

Then they came for the trade unionists, and I did not speak out—because I was not a trade unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out—because I was not a Jew.

Then they came for me—and there was no one left to speak for me.

—Martin Niemöller
 
Hawa vibaka hawa ,
 
Hata wewe hauko salama, watu wa hovyo kama wewe ni janga kwa Taifa
 
ni wajinga tu wanaweza kuipigia kura chagadema, mama atashinda kwa kishindo kihalali kabisa Ili chama cha mbowe kijifie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…