ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Unawezakushindana naye kwenye taaluma ya sheria? Hayo ya ukibaraka ni porojo tu zilizohapo lumumba.unashindanaje na kibaraka sasa gentleman?
, si itakua utumwa umeanza sasa?🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezakushindana naye kwenye taaluma ya sheria? Hayo ya ukibaraka ni porojo tu zilizohapo lumumba.unashindanaje na kibaraka sasa gentleman?
, si itakua utumwa umeanza sasa?🤣
naweza kupeana changamoto na wazalendo wa taaluma mbalimbali, lakini kupoteza muda na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi itakua ni kupoteza muda, lakini pia ni element za kitumwa 🐒Unawezakushindana naye kwenye taaluma ya sheria? Hayo ya ukibaraka ni porojo tu zilizohapo lumumba.
kitaalamu naweza kumponda au kumsifia yeyote yule kulingana na angel ya ama kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa au kimataifa ..Nimekuletea comment yako uone utafiti wako uliokuwa unamponda mwenyekiti Mbowe.
Acha umbea, jazeni Nafasi yenu ya Makamu Mwenyekiti Kwanza!!Je, Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?
Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?
Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Leo unaipenda chadema na mwenyekiti kwasababu ya maslahi yenu kisiasa na sio kwa upenzi.naweza kupeana changamoto na wazalendo wa taaluma mbalimbali, lakini kupoteza muda na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi itakua ni kupoteza muda, lakini pia ni element za kitumwa 🐒
Ni ishara gani zinazo dhibitisha kuwa bwana tundu antipas mgwai lissu ni "pure puppet",anaweza kua mwanasheria mzuri sana kwa mtazamo wako, lakini ni mwanasheria alierubuniwa kifikra, kwa hali na mali na mabwenyenye ya magharibi..
kwa lugha rahisi,
huyo ni pure puppet wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
Gentleman,Ni ishara gani zinazo dhibitisha kuwa bwana tundu antipas mgwai lissu ni "pure puppet",
Mbona kipindi cha risasi hamkusema kuwa lissu ni puppet wao?.
Je kutibiwa hko ughaibuni ili kuokoa uhai wake leo kawa puppet wao?.
Je ninani angefurahi kama bwana lissu angeiaga dunia katka kile kipind cha lisasa?..
Ukijibu hayo maswali yote,basi hekima inahitajika sana kabla ya kumhukum lissu,et ni puppet..
🫵...

😂😂Gentleman,
mawazo, maneno, matendo na mienendo yake kisiasa ni dhahiri muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Full stop![]()
Ama kweli mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
Kumbe vibaraka wa mabwanyenye mpo wengi🥲Kaka unaangaika Sana embu pumzika.
Lisu asubuhi lisu mchana lisu jioni.
😂😂relax gentleman,
mambo ndio kwanza yanaanza![]()
Mnadi mama ya chadema kausha ki ukweli hayakuhusu gentlemanrelax gentleman,
mambo ndio kwanza yanaanza![]()
sure,Ndiyo anaweza potea kwenye siasa lakini kumbuka kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza, kwa uwezo wa Lissu popote atakapokuwa lazima tu atashang'ara tu. Na chadema wakimfukuza au wasipompa nafasi yeyote watashangazwa sana kwa kumpoteza mtu resources full kama huyo, yaani itakuwa ni kama wanataka chama kiongozwe na watu wakawaida sana. Na mi nilichokiona nadhani Mh Lissu ameona mdudu mengi ya siri na sasa anashindwa kuvumilia hizo sarakasi

Btch as nigar ingine hii hapaKumbe vibaraka wa mabwanyenye mpo wengi🥲
gentleman,Mnadi mama ya chadema kausha ki ukweli hayakuhusu gentleman
