Kuuliwa kwa Kevin Darwin, colonel wa MOSSAD mwenye shabaha kumeihuzunisha Israel yote. Alipelekwa Gaza kuwasaka viongozi wa Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kuna baadhi ya watu wamepata dhana kuwa vita vinakaribia mwisho Gaza, kumbe ndio kwanza viko katikati ya safari.

Kifo cha Colonel Kevin Darwin hapo juzi huko Gaza kumeleta huzuni kubwa mjini Tel Aviv na Israel yote.Afisa huyo muhimu wa Mossad amepewa jina la sifa kama black mamba kutokana na uwezo wake wa kuua na kujificha bila kugunduliika.

Black mamba ndiye aliyehusika na kumuua kiongozi maarufu wa kipalestina Mahmoud aLmabhooh nchini Dubaij mwaka 2010 moja ya mauwaji yaliyoonekana ya kiufundi sana duniani kwa namna alivyomfikia mlengwa wake.

Hali hiyo imekuwa kinyume alipokwenda kuwawinda viongozi wa Hamas kwani ameutliwa kabla hajampata yeyote kati yao na kuwatia huzuni kubwa vikosi vyote vya IDF mpaka kupelekea kuvuja kwa siri ya kifo chake.
Hiki ni moja ya vifo vya maafisa wakubwa vilivyolazimika kujulikana.Hata hivyo idadi ya askari wa kawaida wanaokufa bila kutangazwa inaaminika ni kubwa sana

The killing of a intelligence officer shocks Tel Aviv


Colonel Kevin Darwin
 
Guruwe jingine limekufa Asante Mungu

Gaza itageuka makaburi ya hawa mashoga wavamizi

Piga makenge hayo mavaa pampas!!

Go Hamas Go
 
Apumzike kwa amani shujaa kevin..n mzee wa kazi netanyahu ameshasemaa damu bingwa huyu italipwa na nafsi mia moja za mapalestina dah! mwarab kakosea njia kwa myahudi hapaa..
Kumbe Netanyahu ameumia sana kumpoteza huyu aliyetaka awapoteze wakubwa wa Hamas.
Naona kama atalazwa tena ICU kuziba mirija ya moyo wake hali iliyompata mwezi mmoja kabla ya vita.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna mbabe mbele ya kifo hata huyo Mungu wenu Netanyau mnaye shinda mna msifu kuuwa vichanga na wanawake ipo siku isiyo na jina zamu yake itafika tena anaweza kufa kifo cha kifala na cha aibu mno.
Mbona uchokozi mlianza wenyewe saiv mnaomba huruma??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…