Taarifa za kiintelinjensia zinasema, actually Israel wanataka kuishambulia Iran ambao ndio saizi yao. Kwa HAMAS wanatafuta kisingizio tu. Na Iran ishashtukia mchezo. Hawataki KABISA kujihusisha na HAMAS maana wanaujua muziki wa Israel. Wewe endelea na Go HAMAS go huku wenzako wanateketea!