Kuuliza alipo raisi Samia ni kiherehere

Kuuliza alipo raisi Samia ni kiherehere

Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazwangwasuma tukalitizame pia.
🤣🤣🤣 Chuo cha kukera watu ulisomea wapi Mkuu?.Huu uandishi kibokooo🤣🤣🤣
 
Kuna kitu sijaelewa

--- Kila ukipita kwenye post za watu ( hata mimi nimeuliza ) wanaouliza kuhusu Samia yuko wapi, unakutana na Team ya Waziri Rajabu inatoa matusi ya nguoni kwa wanaouliza Rais wa Nchi Yuko wapi

--- Kwa kipi rahisi? Kuajili Team kutukana watu mtandaoni au Samia kujitokeza tu na kupoza hii hali ambayo imeendelea kwa wiki mbili sasa?

-- Watu wanahoji sababu wanajua sheria za nchi zinasemaje, Lakini pia haiwezekana Rais wa Nchi akaondoka na kwenda nchi kama Marekani kisha akapotea tu kama upepo na kusiwe na Mswali

-- Kwa nini Gharama kubwa inatumika kutuma watu kutukana badala ya kuja na HOJA

Hii inaacha maswali makubwa zaidi, sababu haiwezekana serikali ikatumia gharama kubwa kulipa wahuni badala badala ya ku address suala muhimu la Samia yuko wapi

Mwisho serikali inatakiwa kujifunza wakati wa Magufuli alipopotea serikali ilikuja kwa namna inavyokuja sasa na kuna baadhi ya watu walikamatwa mwisho wa siku tukamzika Magufuli, Mpaka leo serikali imekaa kimya awakuomba radhi

Samia YUKO wapi, hii ndio hoja ijibiwe
Kikwete alivyokwenda Marekani kufanyiwa upasuwaji wa tezi dume alitangaza atakuwa Marekani kwa matibabu kwa wiki mbili.

Sionagi logic yoyote ya kufichaficha mambo ambayo wala siyo ya siri.
 
Kwani Zaidi ya Wizara ya mambo ya nje, chombo gani kingine cha habari cha Canada kilitaarifu kuhusu kutokea kwa Kimbunga Rafael tarehe 6-7?
 
Sio kila aulizae hajui....hao wanaolizauliza wanashaka na nini?
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Rais ni mtumishi wa umma.

Kachaguliwa na umma, analipwa na umma, anawajibika kwa umma.

Hivyo, watu wakitaka kujua alipo mtumishi wao wanaomlipa, wana haki hiyo, ni haki ya kikatiba.

Tatizo inaonekana una uelewa mdogo sana wa haki za kikatiba na kiraia.
 
Rais ni mtumishi wa umma.

Kacjmhaguliwa na umma, analipwa na umma, anawajibika kwa umma.

Hivyo, watu wakitaka kujua alipo mtumishi wao wanaomlipa, wana haki hiyo, ni haki ya kikatiba.

Tatizo inaonekana una uelewa mdogo sana wa haki za kikatiba na kiraia.
Hilo bandiko sio la mtu mwenye uelewa mdogo wa Haki za kiraia Mkuu. Soma tena!
 
Hilo bandiko sio la mtu mwenye uelewa mdogo wa Haki za kiraia Mkuu. Soma tena!
Ni la mtu mwenye uelewa mdogo wa haki za kiraia, ndiyo maana anaona ajabu wananchi kuuliza rais yuko wapi.

Haelewi kuwa rais ni mtumishi wa raia.

Haelewi kuwa raia wana haki ya kikatiba ya kujua rais yuko wapi.

Kutoelewa mambo hayo ya msingi kabisa katika haki za kiraia ni kuwa na uelewa ndogo wa haki za kiraia.

Na inawezekana hana ueleea hata mdogo, hajali kabisa mambo ya uelewa wa haki za uraia anajali mambo ya ujingaujinga tu ya "huyo mwanamke damu inachemka".
 
Ni la mtu mwenye uelewa mdogo wa haki za kiraia, ndiyo maana anaona ajabu wananchi kuuliza rais yuko wapi.

Haelewi kuwa rais ni mtumishi wa raia.

Haelewi kuwa raia wana haki ya kikatiba ya kujua rais yuko wapi.

Kutoelewa mambo hayo ya msingi kabisa katika haki za kiraia ni kuwa na uelewa ndogo wa haki za kiraia.

Na inawezekana hana ueleea hata mdogo, hajali kabisa mambo ya uelewa wa haki za uraia anajali mambo ya ujingaujinga tu ya "huyo mwanamke damu inachemka".
Huyu katumia Lugha ya kinyumenyume Mkuu🤣🤣🤣
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.
Wengine wanafika mbali wanasema amerudi akiwa kwenye Sanduku na kuahirishwa Safari ya Cuba ni kutuandalia mazingira ya kututangazia kilichojiri kwa hio anaandaliwa wa kuisogelea maiki wengine wanamuulizia Maja yupo?
 
Cuba wapo vizuri kwenye mbinu za kivita ingawa hawavumi saana ila wanaoenda kusoma Cuba wengi hugeuka kua wana Mapinduzi
Cuba ilisifika miaka ile 1950s, nyakati za ujamaa, Cuba ipo nyuma sana hata kwa muonekano wa miji yao.

Ni nchi masikini, huwezi kuwa na mbinu bora za kivita halafu huna pesa.
 
Cuba ilisifika miaka ile 1950s, Cuba ipo nyuma sana hata kwa muonekano wa miji yao.

Ni nchi masikini, huwezi kuwa na mbinu bora za kivita halafu huna pesa.
Walioenda kusoma Cuba wanaelewa Mimi sina la kuongeza
 
Back
Top Bottom