Kuuliza alipo raisi Samia ni kiherehere

Kuuliza alipo raisi Samia ni kiherehere

Walioenda kusoma Cuba wanaelewa Mimi sina la kuongeza
Story za wazee wa miaka ile, walioishi katika ujamaa, waliobahatika walikwenda kusoma Cuba, kipindi hiko Cuba ni Cuba kweli....

Nadhani hadi leo ndio hutuaminisha Cuba ipo vizuri wakirejea miaka hio ya zamani kitu ambacho si kweli.
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Hee! Kumbe hajaonekana! Sasa inakuwaje? Lucas Mwashambwa isagha utuwile.
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Kiherehere kivipi? Elaborate more please
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Umamanishe nini unaposema ni MWANAMKE wa shoka "damu inachemka"
 
Kikwete alivyokwenda Marekani kufanyiwa upasuwaji wa tezi dume alitangaza atakuwa Marekani kwa matibabu kwa wiki mbili.

Sionagi logic yoyote ya kufichaficha mambo ambayo wala siyo ya siri.
Fear of the unknown.. Kifo ni kifo tuu
 
Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.

Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?

Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Hatuulizi kwa sababu tunampenda, deep inside we wish, huku kutoonekana kwake, kuwe kumesababishwa na jambo kubwa liliompata, ili a RIP! Tupumue! Nayachukia maccm yote
 
Nchi imejaa vituko mpaka hata viongozi hawajui cha kufanya
Kwenye uchaguzi wagombea wote wa upinzani wamekosea kujaza fomu 😃
 
Back
Top Bottom