StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
š¤£š¤£š¤£ Chuo cha kukera watu ulisomea wapi Mkuu?.Huu uandishi kibokoooš¤£š¤£š¤£Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.
Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?
Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazwangwasuma tukalitizame pia.
Kikwete alivyokwenda Marekani kufanyiwa upasuwaji wa tezi dume alitangaza atakuwa Marekani kwa matibabu kwa wiki mbili.Kuna kitu sijaelewa
--- Kila ukipita kwenye post za watu ( hata mimi nimeuliza ) wanaouliza kuhusu Samia yuko wapi, unakutana na Team ya Waziri Rajabu inatoa matusi ya nguoni kwa wanaouliza Rais wa Nchi Yuko wapi
--- Kwa kipi rahisi? Kuajili Team kutukana watu mtandaoni au Samia kujitokeza tu na kupoza hii hali ambayo imeendelea kwa wiki mbili sasa?
-- Watu wanahoji sababu wanajua sheria za nchi zinasemaje, Lakini pia haiwezekana Rais wa Nchi akaondoka na kwenda nchi kama Marekani kisha akapotea tu kama upepo na kusiwe na Mswali
-- Kwa nini Gharama kubwa inatumika kutuma watu kutukana badala ya kuja na HOJA
Hii inaacha maswali makubwa zaidi, sababu haiwezekana serikali ikatumia gharama kubwa kulipa wahuni badala badala ya ku address suala muhimu la Samia yuko wapi
Mwisho serikali inatakiwa kujifunza wakati wa Magufuli alipopotea serikali ilikuja kwa namna inavyokuja sasa na kuna baadhi ya watu walikamatwa mwisho wa siku tukamzika Magufuli, Mpaka leo serikali imekaa kimya awakuomba radhi
Samia YUKO wapi, hii ndio hoja ijibiwe
Rais ni mtumishi wa umma.Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.
Namimi niwaulize mnataka aonekane ili mumfanye kitu gani?au mnataka aonekane ili aje atusaidie kwa lipi ?au akionekana atatua changamoto zipi?
Kumbukeni Rais nae ni binadam kama sisi tu , Tena ni mwanamke wa shoka ambae damu bado inachemuka ,mwacheni aijenge nchi huko mafichoni ,akirudi atatuambia twende na Lipi Ili sisi wazee wangwasuma tukalitizame pia.
Hilo bandiko sio la mtu mwenye uelewa mdogo wa Haki za kiraia Mkuu. Soma tena!Rais ni mtumishi wa umma.
Kacjmhaguliwa na umma, analipwa na umma, anawajibika kwa umma.
Hivyo, watu wakitaka kujua alipo mtumishi wao wanaomlipa, wana haki hiyo, ni haki ya kikatiba.
Tatizo inaonekana una uelewa mdogo sana wa haki za kikatiba na kiraia.
Ni la mtu mwenye uelewa mdogo wa haki za kiraia, ndiyo maana anaona ajabu wananchi kuuliza rais yuko wapi.Hilo bandiko sio la mtu mwenye uelewa mdogo wa Haki za kiraia Mkuu. Soma tena!
Huyu katumia Lugha ya kinyumenyume Mkuuš¤£š¤£š¤£Ni la mtu mwenye uelewa mdogo wa haki za kiraia, ndiyo maana anaona ajabu wananchi kuuliza rais yuko wapi.
Haelewi kuwa rais ni mtumishi wa raia.
Haelewi kuwa raia wana haki ya kikatiba ya kujua rais yuko wapi.
Kutoelewa mambo hayo ya msingi kabisa katika haki za kiraia ni kuwa na uelewa ndogo wa haki za kiraia.
Na inawezekana hana ueleea hata mdogo, hajali kabisa mambo ya uelewa wa haki za uraia anajali mambo ya ujingaujinga tu ya "huyo mwanamke damu inachemka".
Hatuwezi kuelewana.Huyu katumia Lugha ya kinyumenyume Mkuuš¤£š¤£š¤£
Yule bibi umri umeenda damu inamuhemka kivipi?damu bado inachemuka
Wengine wanafika mbali wanasema amerudi akiwa kwenye Sanduku na kuahirishwa Safari ya Cuba ni kutuandalia mazingira ya kututangazia kilichojiri kwa hio anaandaliwa wa kuisogelea maiki wengine wanamuulizia Maja yupo?Nimeona maandiko kadhaa humu toka kwa wadau mbalimbali wakihoji kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Samia a.k.a Nani kama mama.
Kuna wapuuzi wanazusha kwamba Bi Mkubwa is no moreHatuwezi kuelewana.
Cuba wapo vizuri kwenye mbinu za kivita ingawa hawavumi saana ila wanaoenda kusoma Cuba wengi hugeuka kua wana MapinduziHivi Cuba inayozidiwa GDP na Kenya wapo vizuri sana kwenye utabibu?
Kwa tuliosoma Cuba tumekuelewaUpimwe akili yako.
Cuba ilisifika miaka ile 1950s, nyakati za ujamaa, Cuba ipo nyuma sana hata kwa muonekano wa miji yao.Cuba wapo vizuri kwenye mbinu za kivita ingawa hawavumi saana ila wanaoenda kusoma Cuba wengi hugeuka kua wana Mapinduzi
Walioenda kusoma Cuba wanaelewa Mimi sina la kuongezaCuba ilisifika miaka ile 1950s, Cuba ipo nyuma sana hata kwa muonekano wa miji yao.
Ni nchi masikini, huwezi kuwa na mbinu bora za kivita halafu huna pesa.