Kuuliza alipo raisi Samia ni kiherehere

Walioenda kusoma Cuba wanaelewa Mimi sina la kuongeza
Story za wazee wa miaka ile, walioishi katika ujamaa, waliobahatika walikwenda kusoma Cuba, kipindi hiko Cuba ni Cuba kweli....

Nadhani hadi leo ndio hutuaminisha Cuba ipo vizuri wakirejea miaka hio ya zamani kitu ambacho si kweli.
 
Hee! Kumbe hajaonekana! Sasa inakuwaje? Lucas Mwashambwa isagha utuwile.
 
Kiherehere kivipi? Elaborate more please
 
Umamanishe nini unaposema ni MWANAMKE wa shoka "damu inachemka"
 
Kikwete alivyokwenda Marekani kufanyiwa upasuwaji wa tezi dume alitangaza atakuwa Marekani kwa matibabu kwa wiki mbili.

Sionagi logic yoyote ya kufichaficha mambo ambayo wala siyo ya siri.
Fear of the unknown.. Kifo ni kifo tuu
 
Hatuulizi kwa sababu tunampenda, deep inside we wish, huku kutoonekana kwake, kuwe kumesababishwa na jambo kubwa liliompata, ili a RIP! Tupumue! Nayachukia maccm yote
 
Nchi imejaa vituko mpaka hata viongozi hawajui cha kufanya
Kwenye uchaguzi wagombea wote wa upinzani wamekosea kujaza fomu πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…